Hahahah!
mi nimesoma posts zake kama tatu hivi ila ni matusi matupu. Acha apumzishwe kwa amani.
unacheka nini mazandu? Kwani uongo?
Wajameni wana chit chat!
Tumepata msiba mkubwa!!
Yaani babu yetu, mkaguzi mkuu, fotografa wetu mkuu, katiwa pingu na wakuu wa humu!!
Amefanya nini?
Hima hima niungen mkono atokemo huko aliko maana hali ya huko. Sote twaijuaanaweza kurudi akataka kukagua wajukuu wa kiume!
Sasa basi, mod msifute huu uzi tafadhali, acheni wananchi waandamane,
Baby gfsonwin tusile kidude hadi babu atoke, Erickb52 acha kunywa ndovu hadi kieleweke, charminglady, Kongosho, Bishanga acha kuendesha hammer panda bajaji, Elizabeth Dominic na Kaunga tufunge!
platozoom usiende chako ni chako, wala cacico usende tena site!!
King'asti na BADILI TABIA, Yummy, Erotica na wajukuu wote njooni!
Judgement ebu suggest ujumbe wq mabango naangalia ruti na kibali!
Free ODM!!
Nimeshaandaa bango maandamano yanaanzia wapi Kaizer??
Wakubwa wamemfanyaje Babu?
Mtu mzima huyu kawa'kawaje?
Matukio kwa picha tutayapata kupi ?
Hebu KONNIE atumie formula aliyotumia wakati wa Maziwa mgando, itamtoa Babu soon!
Hahaha unadhani atarudi salama?
Amenambia we ni home boy wake kazi ya ukaguzi kakukabizi wewe. Ili mradi tu usiwakague cacico, Yummy na BADILI TABIA kwa kuwa alishawafanyia ukaguzi wa kudumu. Ametoa onyo kwa Catherine kuwa akiendelea kumfanyia kauzibe atamtaliki kabla hajakaguliwa.
Wakubwa wamemfanyaje Babu?
Mtu mzima huyu kawa'kawaje?
Matukio kwa picha tutayapata kupi ?
Hebu KONNIE atumie formula aliyotumia wakati wa Maziwa mgando, itamtoa Babu soon!
Hahaha unadhani atarudi salama?
Tuandamane wasije wakampeleka Mabwepande.