Nimekuwa nikishuhudia mara kadhaa viongozi wa vyama vya upinzani wakitiwa misukosuko kwa kuitisha maandamano bila vibali vya OCD.Je vibali hivi vinatakiwa kwa upinzai tu,jana tulimouna mbunge wa Nzega[Samahani jina lake uwa linanishinda kuandika na kutamka] akiongoza maandamano fulani huko jimboni kwakwe na kudai haitaji ruhusa ya polisi,je taarifa za kiintelijensia hazikumuona?