Leta picha acha longolongoMkuu nami nipo maeneo haya. Barabara haipitiki. Wanataka Rais ajiuzulu
Hawa wanaharakati ni akina nani?Tayari wanaharakati wamefunga Ally Hassan Mwinyi na Ocean Road jijini Dar es Salaam ili kufikisha ujumbe kwa wenye mamlaka. Lengo ni kuwaonyesha watoa maamuzi kuwa haturidhiki na hatua wanazochukua katika kushughulikia mgogoro wa madaktari.
Nakuona, shuka uje hapa tulale.
we vipi, unatibiwa wapi na nduguzonendeni kwa wingi kabisa
kaka umenichekesha sana!toka lini wanaharakati waka karabati barabara?Hebu weka haya mambo kwa kina we mtoto ebo!
Wamefunga wanafanya ukarabati au?
Waachie tu, sasa hivi serekali itawajibu. maana polisi wetu wanausongo,juzi tu wametoka depu
Mkuu nami nipo maeneo haya. Barabara haipitiki. Wanataka Rais ajiuzulu
zima gari,tupa funguo na wewe ulale.....
Soon and very soon.....!
Yaani ni kitu cha kushangaza sana. Mgomo unaingia wiki ya pili sasa Watanzania wanakufa huku na kule na Rais yuko kimya kabisa!!!! Duh! niliwahi kuandika hapa jamvini kwamba huyu jamaa akiachiwa kuendelea kuwepo madarakani mpaka 2015 basi ataiacha nchi katika hali mbaya sana. Naona sikukosea kabisa.
Niko hapa barabara ya Ali Hassani Mwinyi,madaktari kwa wingi wao na umoja wao wamefunga barabara,foleni inatisha.Kwa sasa barabara hii haifai kupita.
Hawa wanaharakati ni akina nani?
mary wewe hujaoona madaktari wengi wao walikuwa wamevaa hijabu..mnaandamana kwa kumchukia rais muislam-Kibonde wa wafu fm