kuna maanadamano makubwa huko dar...watu kibao wameandamana na wamekusanyika hapo salender bridge...wana mabango kibao..wakiishinikiza serikali kuingilia kati
sosi ni mwana jf aliyepo eneo la tukio kanipigia simu
kuna maanadamano makubwa huko dar...watu kibao wameandamana na wamekusanyika hapo salender bridge...wana mabango kibao..wakiishinikiza serikali kuingilia kati
sosi ni mwana jf aliyepo eneo la tukio kanipigia simu
ngoja ninunue dumu la maji ya uhai lt 5 nikajiunge na wenzangu.
Hii ni kujiandaa na mabomu ya sumu
mnaandamana kwa kumchukia rais muislam-Kibonde wa wafu fm
Yeah nimepata hizo taarifa sasa hivi pia