TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Hawa ni wanaharakati walio andamana mpaka Ikulu jana kukumbushia azimio la Msumbiji mwaka 2003 juu yaongezeko la chakula mpaka kufikia bajeti ya 10%.
Rais hakuona nongwa kuwakaribisha kabisa lkulu hata maafande makunja hawakuwabughudhi kabisa sijui lkulu iliandaa haya maandamano maana sio kawaida.
Rais anafrahia maandamano hayo pembeni ni waziri wa Chakula inaonyesha ni mpango mzima. Serikali inapenda maandamano ya aina hii na si yale ya kuitaka serikali ifanye maamuzi magumu kwa manufaa ya wananchi.