Pamoja kwamba kukashifu dini au kiongozi wa dini ni jambo baya, vurugu za waislam za hivi karibuni kuua na kuchoma nyumba za mabalozi wa nchi kadhaa hazikustahili na zilivuga mpaka. Kashfa inayoyohusika ilifanyua na mtu binafsi na haikuwa busara kushutumu serikali za nchi husika. Ingekuwa jambo la busara kwa viongozi wa dini ya kiislamu kushirikiana na serikali husika kuona hatua za kuchua badala ya kufanya mauwaji ya watu wasio na hatia.