Maandamani a Waislamu

kishio

New Member
Apr 10, 2011
4
1
Pamoja kwamba kukashifu dini au kiongozi wa dini ni jambo baya, vurugu za waislam za hivi karibuni kuua na kuchoma nyumba za mabalozi wa nchi kadhaa hazikustahili na zilivuga mpaka. Kashfa inayoyohusika ilifanyua na mtu binafsi na haikuwa busara kushutumu serikali za nchi husika. Ingekuwa jambo la busara kwa viongozi wa dini ya kiislamu kushirikiana na serikali husika kuona hatua za kuchua badala ya kufanya mauwaji ya watu wasio na hatia.
 
Ghadhabu ilitawala nafsi yao kuliko busara na kutokana na kukosa busara wamejikuta wakiua watu wasiokuwa na hatia na kuingia katika dhambi.
 
kuna mwislamu (ustadhi)alimlawiti mtoto mdogo huko dodoma , sasa wanhgejiskiajekama tungeujumuisha uislam wote kwa ujumla kwenye hilo tukio? kama wao wanavyofana sasa hivi
 
ist kein Frieden Religion als u thinnk sie Art von dummen Menschen sind ungebildet ignorant reagieren sie fo lilte Dinge ohne zu wissen, die Auswirkungen für den Rest meines Lebens und ich kann nicht einmal wagen, zu einem dann in jeder Situation zu helfen.
 
Ndugu zangu hebu tujadili nini hatima ya vurugu zinazoendelea kati ya wanauamsho wa kiislamu dhidi ya serikali hatima yake ni nini??? Ukiangalia ndani ya wiki hii kumetokea vurugu Mbagala, ikaja ya Sheikh Ponda kukamatwa hadi kusababisha mabomu kupigwa central police jana, hapo hapo zanzibar tena kumeibuka vurugu. Nini mwisho wake katika nchi yetu?? check hizo link
HAWA NDIO WAFUASI WA SHEIKH PONDA WALIOKAMATWA WAKIANDAMANA DAR LEO « Millard Ayo
HIZI NI BAADHI YA PICHA ZA VURUGU ZA KUNDI LA UAMSHO ENEO LA DARAJANI ZANZIBAR LEO.. « Millard Ayo
WAISLAMU JIJINI DAR WACHARUKA KUFUATIA KUTIWA MBARONI KWA SHEIKH PONDA ISSA PONDA.
SERIKALI YA ZANZIBAR YAWAHAKIKISHIA AMANI NA UTULIVU WANANCHI WAKE BAADA YA KUTOKEA VURUGU ENEO LA DARAJANI.
:A S embarassed:
 
Naweza kusema pande zote mbili yaani waislamu na serikali wamekosa hekima na uvumilivu katika kuyaendea mambo ya kidini. Halafu hakuna kitu kibaya kama kukamata kiongozi yeyote tu hata wa kikundi cha ngoma! ukifanya ndio unaamsha ari zaidi.....
 
Hii ni dalili mbaya na kama uongozi usipogangamara tutajuta kumjua huyu mchochezi, it seems to be a move maana mara Mombasa, Zanzibar na sasa bara, SHETANI ASHINDWE
 
Ndugu zangu hebu tujadili nini hatima ya vurugu zinazoendelea kati ya wanauamsho wa kiislamu dhidi ya serikali hatima yake ni nini??? Ukiangalia ndani ya wiki hii kumetokea vurugu Mbagala, ikaja ya Sheikh Ponda kukamatwa hadi kusababisha mabomu kupigwa central police jana, hapo hapo zanzibar tena kumeibuka vurugu. Nini mwisho wake katika nchi yetu?? check hizo link
HAWA NDIO WAFUASI WA SHEIKH PONDA WALIOKAMATWA WAKIANDAMANA DAR LEO « Millard Ayo
HIZI NI BAADHI YA PICHA ZA VURUGU ZA KUNDI LA UAMSHO ENEO LA DARAJANI ZANZIBAR LEO.. « Millard Ayo
WAISLAMU JIJINI DAR WACHARUKA KUFUATIA KUTIWA MBARONI KWA SHEIKH PONDA ISSA PONDA.
SERIKALI YA ZANZIBAR YAWAHAKIKISHIA AMANI NA UTULIVU WANANCHI WAKE BAADA YA KUTOKEA VURUGU ENEO LA DARAJANI.
:A S embarassed:
Huu si uisilamu Ila ni wimbi la
watu ambao wanakerwa na aina ya mifumo fulani katika serikali zilizo madarakani na kutumia kigezo cha dini kufanya hayo wanayoyataka. Ukiwafuatilia hawa wamesoma hizo dini pakstani, afghanistan, iran nk. Hawa hata katika jamii nyingine za dini ya kiislamu wamefanya fujo nyingi sana. Hakuna serikali ambayo itawaridhisha kwa matakwa yao hata siku moja kwani wao wamefundishwa kulalamika tu. Hivyo ni kujipanga tu na kuwadhibiti. Kuna baadhi ya misikit wakiingia tu huwa wanatolewa mkuku kabla hawajaota mizizi. Ni watu wa hatari. Kwani hawapo kabisa kwenye dini ila wamevaa ngozi ya udini kutimiza matakwa ya waliowatuma. Mwisho wa siku mtu analipwa kwa shughuli ya kufanya fujo.
 
Naona awa ni wauni wanaotumia dini kufanya maovu,aijaingia akilin kwa muislam safi kufanya fujo na kujisifia kuuwa.mwalimu nyerere alipinga sana udini na ukabila kwa nguvu zake zote na ndio maana adi leo tanzania tunaitwa kisiwa cha amani.serikali inatakiwa kuingilia kati.sijui ata rahis wetu akitoka oman anaenda nchi gani tena!! Inabid asitishe safari kuja kushugulikia uovu huu wa kidini.lakin jk ni ngumu sana kusitisha safari ila tunaomba asitishe
 
There is something very serious anonymously progressing within the so called "Muslim World". Somebody is somehow
funding the "islamic" movements globally but especially in poor African countries in which their level of intelligence/ surveillance strategies are not well funded, poor/low equipped, unskilled personnel, corrupt governments and dirty politics
are games of the day. The Signs of these movements can easily be noticed from what is happening in Nigeria(Boko haram), Kenya(State of Mombasa), Zanzibar(Uamsho), Tanzania(Ponda Issa Ponda) and Somalia(Alshaabab). This is a movement because their approach(mode of operation) are the same and are simultaneously driven within different places but at the the same time. The governments must inflicts sanctions to every source of income of their ring leaders.

Ndugu zangu hebu tujadili nini hatima ya vurugu zinazoendelea kati ya wanauamsho wa kiislamu dhidi ya serikali hatima yake ni nini??? Ukiangalia ndani ya wiki hii kumetokea vurugu Mbagala, ikaja ya Sheikh Ponda kukamatwa hadi kusababisha mabomu kupigwa central police jana, hapo hapo zanzibar tena kumeibuka vurugu. Nini mwisho wake katika nchi yetu?? check hizo link
HAWA NDIO WAFUASI WA SHEIKH PONDA WALIOKAMATWA WAKIANDAMANA DAR LEO « Millard Ayo
HIZI NI BAADHI YA PICHA ZA VURUGU ZA KUNDI LA UAMSHO ENEO LA DARAJANI ZANZIBAR LEO.. « Millard Ayo
WAISLAMU JIJINI DAR WACHARUKA KUFUATIA KUTIWA MBARONI KWA SHEIKH PONDA ISSA PONDA.
SERIKALI YA ZANZIBAR YAWAHAKIKISHIA AMANI NA UTULIVU WANANCHI WAKE BAADA YA KUTOKEA VURUGU ENEO LA DARAJANI.
:A S embarassed:
 
Nina waraka nimepata wa waislaam. Nitauscan na kuupost muone. Hawa jamaa wameamua kweli kweli. Ni mtandao mpana kitaifa. Serikali isipokuwa makini, tunaelekea kubaya.
 
Serikali yako inavuna ilichopanda! Ulimsikia Rais wako alipotembelea maeneo yaliyo fanyiwa fujo huko mbagala? nilidhani ni issue ndogo Mi ndo maana natangaza hadharani kwamba mi sina rais. We karne hii unaweza kuona wapi Rais wa nchi yoyote badala ya kukaa na wasaidizi wake jinsi ya kurekebisha uchumi anashinda anazungukia nchi za nje kutafuta wafadhiri?
Japo niko kidogo nje ya mada lakini tatizo kubwa ni uongozi wa nchi. Watanzania tuliingia chaka kuangalia sura ya mjamaa mkampa madaraka ambayo halingani nayo.
 
1. Vurugu ya kuchoma makanisa

2. Fujo na kuchoma maduka

3. Kuua Polisi

4. Kutaka kumuua mtoto kisa kitabu kimekojolewa
 
1. Vurugu ya kuchoma makanisa

2. Fujo na kuchoma maduka

3. Kuua Polisi

4. Kutaka kumuua mtoto kisa kitabu kimekojolewa

5. Kwenda msikitini kupanga maandamano ya vurugu badala ya kusali

6. .....
 
1. Vurugu ya kuchoma makanisa

2. Fujo na kuchoma maduka

3. Kuua Polisi

4. Kutaka kumuua mtoto kisa kitabu kimekojolewa

Then unaingia peponi zawadi ni 72 virgin girls and 88,000 Servants, LOL!
 
Inabidi wafanye kazi kubwa sana kui polish dini yao...Kwa sasa haina kuvutio kiwe cha kiroho au kimwili kuifuata kwa hiari...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom