President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Habari ndio hiyo, subiri.....subiri mtaula wa chuya....ohooo!!
Usipomwandaa mgombea wako leo, wenzako watakupiga bao la kisigino.
Wenye nia ya kugombea urais au wale wanaosubiri kuoteshwa, wakati ndio huu. Ikifika 2015 kazi ni moja tu, kufanya kampeni na kumpigia kura mgombea wetu.... baaaasi...
Usipomwandaa mgombea wako leo, wenzako watakupiga bao la kisigino.
Wenye nia ya kugombea urais au wale wanaosubiri kuoteshwa, wakati ndio huu. Ikifika 2015 kazi ni moja tu, kufanya kampeni na kumpigia kura mgombea wetu.... baaaasi...