uwezo wake kiutendaji umeshuka sana,
yule aliyekuwa anamletea dozi ya kuimarisha misuli,
amekamatwa kwenye kasheshe la mbagala,
hivyo Asprin wa leo siyo yule wa majuzi.
Hata usihofu mpendwa wangu,
Kwani umesahau kuwa kuna mbio za sakafuni??? LOL
Hapo anakuuliza umeshakula mkate leo?
yewuuu mlongo wangu. za magono?
nilisha kupendekeza na nafikilia uchaguzi ukianza kama utakuwemo nikupigie debe,kama si wewe basi Arabela...nitafurahi sana kama mmoja wapo kati yenu achukue Taji
we wakati ndio sasa upo?, mmefikia wapi na charminglady?
wns please please naomba unifanyie kampen nipate huo ushindi
dah!...nipo mkuu,cl niliepuka naye baada ya yeye kugundua dawa yangu,Binafsi nachukia dharau,ikabidi nijitoe kwenye mapigano yasiyokuwa na faida
niko tayar kwa ajiki ya ukaguzi, karibu Asprin 4 inspection
Busara hiyo,safi sana
mbona ma miss ni wachache sana humu na wanahesabika? na hao uliotaja hapo juu wala sio mamiss hao wote ni wamama,wabibi na ma mrs na waume zao wapo humu humu na waume zao wanajiita majina ya vidonge.kwa kifupi shindano hilo ni batili watu humu hadi wana wajukuu af unaita miss chit chat haikubaliki hata kidogo!MA MISS WA UKWEEEE WAANDAE MAANDAMANO NA NTAWAPA SAPOTI.PM 20 TU ZINATOSHA KUFANYA MAANDAMANO
Maandamano!?, hujaskia kuwa JWTZ linalinda amani ya nchi
thnx much kwa ukarimu!