Averos
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 993
- 695
Udini unaweza kutafsiriwa tofatuti Tanzania
Kwa Waisalamu: Udini Ni ile hali ya Serikali kuewapendelea wakristo katika nyanja za Uongozi, Huduma za kijamii, na Fursa za kiuchumi, ilihali ikiwakandamiza waislamu.
Kwa Wakristo: Udini Ni ile hali ya waislamu kutaka kujikomboa na kuleta usawa katika nyanja za Siasa (Uongozi), huduma za kijamii na Uchumi.
source: Maalim Ali Basaleh.
Kwa Waisalamu: Udini Ni ile hali ya Serikali kuewapendelea wakristo katika nyanja za Uongozi, Huduma za kijamii, na Fursa za kiuchumi, ilihali ikiwakandamiza waislamu.
Kwa Wakristo: Udini Ni ile hali ya waislamu kutaka kujikomboa na kuleta usawa katika nyanja za Siasa (Uongozi), huduma za kijamii na Uchumi.
source: Maalim Ali Basaleh.