N NIMIMI Senior Member Apr 2, 2011 170 16 Apr 4, 2011 #1 Wadau naomba kufahamu Maana ya neno 'ULAFI?'
TONGONI JF-Expert Member Feb 18, 2011 1,041 373 Apr 19, 2011 #3 Ulafi ni kuchukua zaidi ya kile unacho stahili tena na mara nyingi huambatana na ufujaji iwe chakula au madaraka
Ulafi ni kuchukua zaidi ya kile unacho stahili tena na mara nyingi huambatana na ufujaji iwe chakula au madaraka
The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,110 115,885 Apr 19, 2011 #5 yaani hamna tabia ninayochukia kama mtu mzima awe mlafi wa chakula..... hata matunda ya watoto hayakai kwenye friji
yaani hamna tabia ninayochukia kama mtu mzima awe mlafi wa chakula..... hata matunda ya watoto hayakai kwenye friji
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,189 Apr 20, 2011 #6 The Boss said: yaani hamna tabia ninayochukia kama mtu mzima awe mlafi wa chakula..... hata matunda ya watoto hayakai kwenye friji Click to expand... ulafi maana yake nini?
The Boss said: yaani hamna tabia ninayochukia kama mtu mzima awe mlafi wa chakula..... hata matunda ya watoto hayakai kwenye friji Click to expand... ulafi maana yake nini?