Lyangalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2009
- 679
- 234
Nimekuwa nikifuatilia vyombo vya habari muda mrefu na watu mbalimbali wakilaumu kwamba watendaji wa JK wanamwangusha na hawaendani na "kasi yake". Ninashindwa kujua nini maana ya kasi hii kwa mfano:
- utasikia wanasema pinda haendi na kasi ya raisi ndo maana utendaji wa serikali unalegelega sasa tujiulize kati ya pinda na JK nani kafanya kazi zaidi ya mwenzeke? kama hata kusoma tu shheria zinazungwa na mambo mengi Jk anategemea brefings?
- Je ni kasi gani ambayo JK kaionyesha kwenye utawala wake ambayo twaweza kusema?
- Je ishu za richmond, EPA na mengine zimeshughulkiwa kwa kasi?