Wakuu naomba maelezo ya maelezo ya vikao vya bungeni wanaposema mfano bunge la kumi kikao cha tano mkutano wa tano je kusema bunge la ngap kikao cha ngap na mkutano wa ngap wanamaanisha nini?
Mdogo wangu pombe za kukesha ndo matokeo yake hayo, kazimue then rudi utakuwa fiti mzee.
Ukiona hivyo ujue hajui,ngoja wataalamu waje wakujuzejama mara nyingine tusifanye mambo kwakuwa tu unaacess ya kuchangia unachokiona plz try to think twice before you writeout na tutoe logic view.swali langu linasomeka vizuri kama unaidea na hayo nahitaji majibu!