Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,805
Salaam wakuu.
Naomba kujuzwa maana ya maneno kutambua,kujua,kufahamu na kuelewa.Maana watu wamekuwa wakichanganya kwenye mazungumzo maneno haya na wakati mwingine kuleta tafrani.Mfano mtu anaweza kumwambia mtu 'nakujua', na akajibiwa kwa ukali 'hunijui wewe!unanifahamu tu!'.Naomba mnisaidie kudadavua..
Naomba kujuzwa maana ya maneno kutambua,kujua,kufahamu na kuelewa.Maana watu wamekuwa wakichanganya kwenye mazungumzo maneno haya na wakati mwingine kuleta tafrani.Mfano mtu anaweza kumwambia mtu 'nakujua', na akajibiwa kwa ukali 'hunijui wewe!unanifahamu tu!'.Naomba mnisaidie kudadavua..