EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Ninavyoelewa origin ya neno "hayati" ni kwenye lugha ya Kiarabu ambalo tafsiri yake kwa lugha ya Kiingereza ni "my life". Lakini kwa mujibu wa dictionary ya Kiingereza neno "hayati" linatumika zaidi "in an affectionate way usually towards someone who means a lot to you." Kwa mfano, "Goodbye my life" ni sawa na "Goodbye my Hayati".
Kwenye Kiswahili, neno "hayati" huwa linatumika zaidi kwa mtu ambaye ni marehemu. Je, lina maana sawa na ile maana ya Kiarabu? Ni marehemu wa aina gani wanaostahili kuitwa "hayati"?
Kwenye Kiswahili, neno "hayati" huwa linatumika zaidi kwa mtu ambaye ni marehemu. Je, lina maana sawa na ile maana ya Kiarabu? Ni marehemu wa aina gani wanaostahili kuitwa "hayati"?