zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,829
- 8,619
Zitto, Lissu na Lema huyu bi kiroboto akitaka tu kuupotezea uthibitisho huu, mu mkomalie mpaka abwage manyanga yeye mwenyewe. Sasa hivi ana only one option, either hao mawaziri or yeye mwenyewe wabwage manyanga. Kunkoma nyani giladi.
lazima hapo kwenye red kuna tatizo.