Wadau huyu mama kamlazimisha Zitto kuthibitisha kauli yake ya malobbist huku akimnyima nyaraka za serikali alizoomba. Ivi sheria inasemaje juu ya nyaraka za serekali kupatikana pale mbunge anapozihitaji hasa kwanufaa ya nchi??
Wadau huyu mama kamlazimisha Zitto kuthibitisha kauli yake ya malobbist huku akimnyima nyaraka za serikali alizoomba. Ivi sheria inasemaje juu ya nyaraka za serekali kupatikana pale mbunge anapozihitaji hasa kwanufaa ya nchi??
Amemuongezea muda mpaka mwezi ujao atumie mbinu zake anazozijua ili kuthibitishaKwa hiyo imekuaje?
Huko ni kukwamishana, acheze dili na Samuel SitaAmemuongezea muda mpaka mwezi ujao atumie mbinu zake anazozijua ili kuthibitisha
Huyu mama anakwaza maendeleo ya nchi kabisa
cheki jimboni kwake 2007 hii picha
WAKIENDELEA KUBAKI KATIKA HALI HII NDIYO INAKUWA RAHISI KUWATAWALA. HAWA HAWATAJUA KINACHOENDELEA DUNIANI HAPA. HAWA WAKISHIBA UGALI BASI, WANAONA SHIDA HAKUNA TENA. KUMBUKA WAHENGA WALISEMA UKILA NA KIPOFU USIMGUZE MKONO.
Wadau huyu mama kamlazimisha Zitto kuthibitisha kauli yake ya malobbist huku akimnyima nyaraka za serikali alizoomba. Ivi sheria inasemaje juu ya nyaraka za serekali kupatikana pale mbunge anapozihitaji hasa kwanufaa ya nchi??
Utakaa sana na dua lako la kuku hilo kwenda zako kuleZitto ameingia choo cha kike safari hii, nyaraka alizokuwa anazitaka ni siri, haiwezekani mtu km yeye kuzipata, asubiri rungu tu la Bunge !
Utakaa sana na dua lako la kuku hilo kwenda zako kule
Kenge mwenye gamba.Yale matrekta pale lugalo yanatekeleza kilimo kwanza.Nenda basi kamsaidie ww kupata hizo nyaraka, ndio hivyo tunajua unampenda sana ila rungu linamshukia sasa !
kavae nepi kwanza we mtoto...Nenda basi kamsaidie ww kupata hizo nyaraka, ndio hivyo tunajua unampenda sana ila rungu linamshukia sasa !