Dilunga
JF-Expert Member
- Apr 8, 2009
- 679
- 49
Kama "jina tunalo" na hutaki kulisema, mimi msomaji unanambia jina unalo ili iweje, niifanyie nini siri yako wewe?na Mwandishi Wetu, Dodoma (Tanzania Daima)
Mjumbe huyo jina tunalo, alifikia hatua ya kusema Sitta ameanzisha kikosi...
Hivi umepita mafunzo ya uandishi au mliokotwa okotwa Uwanja wa Fisi mkawe cheap labor kwenye newsroom?
Unaogopa kutaja jina la mjumbe wa Halmashauri ya CCM?
Last edited: