Unakumbuka Kauli aliyowahi kuitoa JK? Kelele za mbwa hazimzuii mwenye mbwa kulala? Ndo uhuru huo? Kama Wanahabari wanapiga kelele kila siku na kelele zao hazifanyiwi kazi na wapigiwa kelele( Kina JK) Kweli sifa zinamstahili?Kuhusu Kikwete kuwa sehemu ya tatizo nafikiri lazima utakubaliana na mimi ya kwamba bila ya Kikwete CCM ilikuwa inakwenda KUOZAAAAA KABISAAAA na ninachomsifu huyu bwana ni kuvipa sana uhuru vyombo vya habari maaana anaelewa kabisa wanahabari ndio wakombozi na wanamapinduzi hasa kwenye huu muda wa mkanganyiko na hawa mafisadi.
.