Mimi ni msichana mrembo, msomi, aged 26, kuna kaka mmoja (30) ana mke wake na watoto wawili,he is handsome, has a cute wife ,familia yake ina furaha,
Mada> huyo people kanizimia kitambo na for 2 years tuko ktk uhusiano ambao mda wote huo kijana anasisitiza kunioa huku akidai wakat anaoa hakuwa na ufahamu wakutosha juu ya uamuzi wake na kudai kuna mambo mengi ambayo haina haja kuyazungumzia but promice zake ni kuishi nasi kwa upendo na misingi yote ya mapenzi bora,.
Nipeni reality kuhusu kuolewa naye kama b/mdogo au nikatae japo mi binafsi namkubali kijana.
Mada> huyo people kanizimia kitambo na for 2 years tuko ktk uhusiano ambao mda wote huo kijana anasisitiza kunioa huku akidai wakat anaoa hakuwa na ufahamu wakutosha juu ya uamuzi wake na kudai kuna mambo mengi ambayo haina haja kuyazungumzia but promice zake ni kuishi nasi kwa upendo na misingi yote ya mapenzi bora,.
Nipeni reality kuhusu kuolewa naye kama b/mdogo au nikatae japo mi binafsi namkubali kijana.