MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Hapana Mbu ninajaribu kuiposition theory ya MTM kwa sababu so far we have one sided story but I still believe kuwa she deserve to be given the benefit of doubt kweli tena. I still symphasize with her but I have to loo at both sides hata kama huku kwingine nitatumia case studies.
...lol...mwj1 hebu usimnyanyapae rafiki yangu bana...
kukosea kupo, na mamuzi ya haraka na hasira kisha kuja yajutia baadae yapo...
ndio maana miongoni mwa hoja za huyu mdada ni kwamba, sasa amejitambua naye ni kwa kiasi gani alichangia
kuharibu huko nyuma....what ifs zimemtosha...
...dahhhh, halafu kuna mahala nilikusoma umeandika hizo presha za 'mbona hakieleweki' zitapelekea wawili hao kuoana for wrong reasons si ndio?
ulishanivutia kwenye hoja zako pale ulipo empathize na huyu mdada...
sasa mara ghafla nawe unageuza tanga...khaaa...? umri unagonga mid 30s sasa
woga lazima awe nao jamani...
Nina maswali yangu ambayo nimekuuliza sijapata jibu na hivyo nguvu zangu za kumtetea shost hapa zinamezwa na mtetezi wa wanaume hawa watatu bana. She need to open up kwako kama anahitaji ushauri.