Maamuzi magumu...!


...lol...mwj1 hebu usimnyanyapae rafiki yangu bana...
kukosea kupo, na mamuzi ya haraka na hasira kisha kuja yajutia baadae yapo...
ndio maana miongoni mwa hoja za huyu mdada ni kwamba, sasa amejitambua naye ni kwa kiasi gani alichangia
kuharibu huko nyuma....what ifs zimemtosha...




...dahhhh, halafu kuna mahala nilikusoma umeandika hizo presha za 'mbona hakieleweki' zitapelekea wawili hao kuoana for wrong reasons si ndio?

ulishanivutia kwenye hoja zako pale ulipo empathize na huyu mdada...
sasa mara ghafla nawe unageuza tanga...khaaa...? umri unagonga mid 30s sasa
woga lazima awe nao jamani...
Hapana Mbu ninajaribu kuiposition theory ya MTM kwa sababu so far we have one sided story but I still believe kuwa she deserve to be given the benefit of doubt kweli tena. I still symphasize with her but I have to loo at both sides hata kama huku kwingine nitatumia case studies.

Nina maswali yangu ambayo nimekuuliza sijapata jibu na hivyo nguvu zangu za kumtetea shost hapa zinamezwa na mtetezi wa wanaume hawa watatu bana. She need to open up kwako kama anahitaji ushauri.
 
Mbu namdediketia rafiki yako one of my favorite songs....labda utamuINSPIRE .
Sia - Little black sandals - YouTube

I'm being dragged down, down by the hand
The hand of a golden giant man
He's crushing my knuckles
Splitting my skin, he says he'll let go
If only I'd ask it of him

He says
Girl, it's your call
You wanna fly
You wanna fall
So I shout
I wanna get away from you
As fast as I can
I tell my feet to move it
I hope they have a plan


These little black sandals
Are walking me away
These little black sandals
Are heading the right way

These little black sandals
Are walking me away
These little black sandals
Saved my life today

So now I'm free
Free
From the big bad giant
Who was stalking me
Thank you feet, for guiding me
I'm glad somehow I got brains down there, at least

These little black sandals
Are walking me away
These little black sandals
Are heading the right way

These little black sandals
Are walking me away
These little black sandals
Saved my life today

Sometimes I'm tempted
Sometimes I am
I would be lying if I said I didn't miss that giant man
He was the line between pleasure and pain
But me and the feet have some years to reclaim

These little black sandals
Are walking me away
These little black sandals
Are heading the right way

These little black sandals
Are walking me away
These little black sandals
Saved my life today

Maamuzi ni yake....
 
Lol am getting curios hapa loh...............surely hapa MTM makes sense kabisa na ninampongeza kwa kuchambua vema. Sasa ni wewe Mbu unayemfahamu huyu mdada, nina maswali machache
1. je anawezakuwa hivyo??
2. Kwa ushauri wetu basing kwenye theory ya MTM, utamshauri nini?
3. What if by chance ikatokea kuwa she is not what we think she is, halafu pengine ushauri wako ulikuwa wa yeye kukaa mbali na huyu wa sasa (mfano) je ikitokea kuwa she was genuine; utajisikiaje kwa ushauri ulompa?

Loh leo nina wewe unless umshauri pia ajiunge Jf japo kwa wiki ijayo atauliza sehemu asozielewa (wengi tunatumia kiswanglish)

mwj1, na mapeema nilisha li address hili kwamba mbu mie hapa ushauri wangu umefikia kikomo...kwani
msimamo wangu tangu mwanzo, siwaungi mkono kabisa hao waliokwisha mu abuse, physically na pyschologically
tatizo ni ule usukule unaotokana na huyu mdada!

hao wakaka wanajua right buttons za kubonyeza bonyeza, hili pia linamchanganya sana huyu mdada...
...hata gari kuu kuu lingekuwa na uwezo, lingegomea swichi za indicator, ignition na wiper kuguswa!

Hahahahha sasa jamani sindo maana akamhusisha Mbu ili kama anamuelewa amueleweshe!!!lolzzz

Dada ana kazi....
Yeye kama yeye anadhani halijui hilo.....anachojua yeye ni kwamba ana uchaguzi wa A, B , C na anataka ushauri wa je achague yupi na baada ya kuchagua hao wengine awapotezee vipi. Sasa anatakiwa kujua kwamba uchaguzi ni hatua ya mwisho kabisa...kwanza a-break hiyo circle ili vyovyote vile atakavyochagua isije ikamrudia tena tuanze kushauri upya!!!

Mbu mwambie dada achukue mapumziko ya muda nje ya circle apate muda wa kutafakari badala ya kuendelea kujichanganya zaidi.

Alafu Mbu hapo kwenye pia waliamini time is a healer...ipo siku mwanadada atajichungua upya na kugundua naye alichangia kutokezea breakups hizo... pananitatiza.
Huyo dada haoni kwamba mpaka waseme hivyo ni kama vile wanamwandalia firearms pale ambapo mambo hayataenda kama dada anavyotumaini? Yani mambo yasipoenda atatupiwa lawama yeye kwamba muda haujamsaidia kubadilika yeye wa sasa ni yule yule wa kipindi hicho na wamepoteza muda kumrudia???Na kama kuna kichapo anastahili......??? Nauliza tu!!!

...lol...maswali ya msingi haya,...."opposite attracts?" nyumba kubwa alihoji
[h=1]Why Good Girls Love Bad Boys[/h]
 
Huyu dada alikosea ushauri wa kuomba. Alitakiwa apate jibu "ni kwa nini kwa mara mbili mfululizo, wanaume wake walim-abuse kwa stail inayofanana"? (atoe detailed information). Kuna uwezikano huyu wa sasa its matter of time, nae atamdunda...

Kumshauri sasa aende kwa yupi, hatujasolve tatizo, sanasana tuna-multiply tatizo...
 
mwj1, na mapeema nilisha li address hili kwamba mbu mie hapa ushauri wangu umefikia kikomo...kwani
msimamo wangu tangu mwanzo, siwaungi mkono kabisa hao waliokwisha mu abuse, physically na pyschologically
tatizo ni ule
usukule unaotokana na huyu mdada!

hao wakaka wanajua right buttons za kubonyeza bonyeza, hili pia linamchanganya sana huyu mdada...
...hata gari kuu kuu lingekuwa na uwezo, lingegomea swichi za indicator, ignition na wiper kuguswa!



...lol...maswali ya msingi haya,...."opposite attracts?" nyumba kubwa alihoji
Why Good Girls Love Bad Boys
Dah in this case naomba nirest my case.......nasubiri mwaka upite utuletee feedback kama MTM alivyotabiri.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Huyu dada alikosea ushauri wa kuomba. Alitakiwa apate jibu "ni kwa nini kwa mara mbili mfululizo, wanaume wake walim-abuse kwa stail inayofanana"? (atoe detailed information). Kuna uwezikano huyu wa sasa its matter of time, nae atamdunda...

Kumshauri sasa aende kwa yupi, hatujasolve tatizo, sanasana tuna-multiply tatizo...

Haya sasa Mbu angle nyingine hiyo!
Aksante TUko.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Huyu dada alikosea ushauri wa kuomba. Alitakiwa apate jibu "ni kwa nini kwa mara mbili mfululizo, wanaume wake walim-abuse kwa stail inayofanana"? (atoe detailed information). Kuna uwezikano huyu wa sasa its matter of time, nae atamdunda...

Kumshauri sasa aende kwa yupi, hatujasolve tatizo, sanasana tuna-multiply tatizo...

...lol....salaaaaaale! hahahahahahahahahah!
ee bana eeee? wewe umeenda deep hapa nimecheka kwa sauti hasa!

kwa definition hii, unakubaliana na utetezi wa mdada "better the devil she knows....!"
khaaa, maskini mdada huyu....why falling for "wrong" guys? nitamuuliza iwapo keshawahi
tishiwa kofi na huyo wa tatu...once bitten, twice bitten, thrice shy


There are currently 31 users browsing this thread. (12 members and 19 guests)

  • ....
 
...lol....salaaaaaale! hahahahahahahahahah!
ee bana eeee? wewe umeenda deep hapa nimecheka kwa sauti hasa!

kwa definition hii, unakubaliana na utetezi wa mdada "better the devil she knows....!"
khaaa, maskini mdada huyu....why falling for "wrong" guys?
nitamuuliza iwapo keshawahi
tishiwa kofi na huyo wa tatu
...once bitten, twice bitten, thrice shy

....
[/LIST]

Hah inategemea na definition yake ya abuse Mbu, unawezamwuliza ukashangaa jibu utakalopewa loh wakati wewe unasubiiria .........ndio alishaniabuse kwa kuntishia kibao.........ukakumbana na ........ndio ananiabuse kwa kutonijali lol
So inategemea na definition yake ya abuse!! lol
 
Huyu dada alikosea ushauri wa kuomba. Alitakiwa apate jibu "ni kwa nini kwa mara mbili mfululizo, wanaume wake walim-abuse kwa stail inayofanana"? (atoe detailed information). Kuna uwezikano huyu wa sasa its matter of time, nae atamdunda...

Kumshauri sasa aende kwa yupi, hatujasolve tatizo, sanasana tuna-multiply tatizo...

Kuna watu ambao hua wanaattract manyanyaso bila wenyewe kujua tokana na madhaifu yao...pamoja na kujiona mdhaifu.. Na hua wanawindwa na wanyanyasaji vile vile kwasababu wanajua wanaweza kuwacontrol kutokana na madhaifu yao. Inawezekana huyu dada ni mmoja wao na hao wapenzi wake ni abusers by nature.

Pia watu kama hawa hua wanaogopa sana kuachana na wa kale kwa hofu ya KUTOTAKWA na mtu mwingine na sio KUPENDWA. Inawezekana ndio maana dada akili yake yote kwa exes wakati anajua fika wanachoweza kumfanya!!
 
Dah in this case naomba nirest my case.......nasubiri mwaka upite utuletee feedback kama MTM alivyotabiri.

...hapana, umemkimbiza MTM hapa,....sio kawaida yako kushindwa mdahalo kirahisi hivyo...


Haya sasa Mbu angle nyingine hiyo!
Aksante TUko.

...nimeiona soulmate, mnh! hilo nalo neno wangu....

bahati nzuri nilishayatanabahisha haya na mapema mno
kwamba mdada ana reservations zake za msingi tu kwanini
ajifikirie na msemo wa "jini likujualo,....!" haswa lile neno, angalau hao wawili wa mwanzo
wanamjua mapungufu yake na anajua wanavyoyapokea
(sijui ndio hiko kipigo, dharau na matusi?)

....huyu aliye naye long distance,, hana muda wa kutosha kumsoma naye ata react vipi...
hii kesi sio rahisi kiviile, au ni mimi naikweza?
 
Hah inategemea na definition yake ya abuse Mbu, unawezamwuliza ukashangaa jibu utakalopewa loh wakati wewe unasubiiria .........ndio alishaniabuse kwa kuntishia kibao.........ukakumbana na ........ndio ananiabuse kwa kutonijali lol
So inategemea na definition yake ya abuse!! lol

Hahahahhaha....MJ sasa hii ni too much!!
Ananiabuse kwa kunioshesha vyombo na kuniambia niamue kama nayataka mahusiano yetu au la!!!
Kaaazi kweli kweli!!!
 
Mimi kabla ya kumuhukumu huyu dada naomba tukubaliane kwamba huyu dada
1) hajielewi
2) hana maamuzi
3) hana msimamo

tukubalianeni hapo kwanza kabla ya kumchapa dozi inayomfaa. Kama nimekosea nikosolewe kabla sijasonga mbele.

Hongera zake Van Persie
 
Mimi kabla ya kumuhukumu huyu dada naomba tukubaliane kwamba huyu dada
1) hajielewi
2) hana maamuzi
3) hana msimamo

tukubalianeni hapo kwanza kabla ya kumchapa dozi inayomfaa. Kama nimekosea nikosolewe kabla sijasonga mbele.

Hongera zake Van Persie

No doubt hapo Kloro...
Mtu akibisha ni sawa na kusema carot sio carot ni matango!!!
 
Hah inategemea na definition yake ya abuse Mbu, unawezamwuliza ukashangaa jibu utakalopewa loh wakati wewe unasubiiria .........ndio alishaniabuse kwa kuntishia kibao.........ukakumbana na ........ndio ananiabuse kwa kutonijali lol
So inategemea na definition yake ya abuse!! lol

...mwj1 nakuvulia kofia wallahi, hahahaha.... umenielewa vizuri sana kwa unyuzi huu..


Kuna watu ambao hua wanaattract manyanyaso bila wenyewe kujua tokana na madhaifu yao...pamoja na kujiona mdhaifu.. Na hua wanawindwa na wanyanyasaji vile vile kwasababu wanajua wanaweza kuwacontrol kutokana na madhaifu yao. Inawezekana huyu dada ni mmoja wao na hao wapenzi wake ni abusers by nature.

Pia watu kama hawa hua wanaogopa sana kuachana na wa kale kwa hofu ya KUTOTAKWA na mtu mwingine na sio KUPENDWA. Inawezekana ndio maana dada akili yake yote kwa exes wakati anajua fika wanachoweza kumfanya!!

swadakta Lizzy, tupo ukurasa mmoja ...dahhh, mpaka raha!

hivi mimi wikiendi yote hii nipo busy kutafuta maoni yenu sababu ni nini?
nachelea mdada wa watu asiendelee kuwa msukule, ajijue thamani yake bila
kumsubiria huyo watatu kumpa thamani hiyo... haelewi!
 
Hahahahhaha....MJ sasa hii ni too much!!
Ananiabuse kwa kunioshesha vyombo na kuniambia niamue kama nayataka mahusiano yetu au la!!!
Kaaazi kweli kweli!!!
Hahahhaha Lizzy mydia we acha tu......mie siku hizi ninayatizama mahusiano kwa jicho lingine kabisa! Yaani kama na darasani ningekuwa makini hivi, mbona ningerushwa madarasa!! lakini pamoja na kukazana kukodoa macho bado mapenzi na mahusiano ni another headache my sweetie.

Mbu si kwamba unaikweza hii ishu ni nzito mydia yaani bora usingeahidi jibu jumatatu!!! na hivi hao wenzetu wana yale ya ............But you promised........ utabana ngenge.
 



kwa definition hii, unakubaliana na utetezi wa mdada "better the devil she knows....!"
khaaa, maskini mdada huyu....why falling for "wrong" guys? nitamuuliza iwapo keshawahi
tishiwa kofi na huyo wa tatu...once bitten, twice bitten, thrice shy


....
[/LIST]

No, No, No, Mbu...

Kabla hujamtetea inabidi ujihakikishie (au utuhakikishie), who is wrong... hao wanaume au yeye. Hizi methali kwa mfano "nyani haoni kundule", "Mtenda akitendwa huhisi kaonewa", "Mkuki kwa nguruwe...", n.k ni za zamani lakini bado zianweza kuwa na maana hata sasa...

Unajua ingekuwa imetokea kwa mwanaume mmoja, tusingejiuliza sana at least, lakini wawili, tena mfululizo... Sitaki kumlaumu moja kwa moja, lakini nahitaji kwanza kujua why that??? Maana inanisababisha nianze na kuhoji "Kwa nini huyu wa sasa ambaye hajamuabuse, huyo dada hajampenda kiviile kama wale wengine wawili?!! Au ni kwa sababu 'yeye sio type ya ku-abuse abuse'? Maana sio siri, kuna wanawake wengi (sio wakurya wala nini), ambao automatically wanaivana zaidi na wanaume ngumi mkononi, na ukiwa mwanaume mstaarabu unaonekana 'not man enough'... na cha kusikitisha sana, zaidi ya 99% ya wanawake wanaoshobokea wanaume rude, HAWAJIJUI KAMA WANA 'HOBBY' HIYO...
 
Hahahahhaha....MJ sasa hii ni too much!!
Ananiabuse kwa kunioshesha vyombo na kuniambia niamue kama nayataka mahusiano yetu au la!!!
Kaaazi kweli kweli!!!

.....lizzy unacheka? lol...kuna wadada wanaenda shitaki waume zao wanawanyanyasa...hawataki wapikiwe, wafuliwe, wakoshewe vyombo, wala kutandikiwa kitanda....yaani mke anajiona ananyanyasika kufanywa malkia ndani ya nyumba yake !


Mimi kabla ya kumuhukumu huyu dada naomba tukubaliane kwamba huyu dada
1) hajielewi
2) hana maamuzi
3) hana msimamo

tukubalianeni hapo kwanza kabla ya kumchapa dozi inayomfaa. Kama nimekosea nikosolewe kabla sijasonga mbele.

Hongera zake Van Persie

....wakili maarufu, nice to see you back!

pamoja na mapungufu hayo, sidhani kama ni sahihi
kumtwanga sindano penye jipu la makalio!

van persie acha ende zake bana, hahaha!...
 
No, No, No, Mbu...

Kabla hujamtetea inabidi ujihakikishie (au utuhakikishie), who is wrong... hao wanaume au yeye. Hizi methali kwa mfano "nyani haoni kundule", "Mtenda akitendwa huhisi kaonewa", "Mkuki kwa nguruwe...", n.k ni za zamani lakini bado zianweza kuwa na maana hata sasa...
Tuko mpaka hapa tuko pamoja. Tunatakiwa kuweza kuangalia pande zote mbili kama maabuser na mavictims.

Unajua ingekuwa imetokea kwa mwanaume mmoja, tusingejiuliza sana at least, lakini wawili, tena mfululizo... Sitaki kumlaumu moja kwa moja, lakini nahitaji kwanza kujua why that??? Maana inanisababisha nianze na kuhoji "Kwa nini huyu wa sasa ambaye hajamuabuse, huyo dada hajampenda kiviile kama wale wengine wawili?!! Au ni kwa sababu 'yeye sio type ya ku-abuse abuse'? Maana sio siri, kuna wanawake wengi (sio wakurya wala nini), ambao automatically wanaivana zaidi na wanaume ngumi mkononi, na ukiwa mwanaume mstaarabu unaonekana 'not man enough'... na cha kusikitisha sana, zaidi ya 99% ya wanawake wanaoshobokea wanaume rude, HAWAJIJUI KAMA WANA 'HOBBY' HIYO...

Hili la kuwa[enda hawa wengine kuliko huyu wa sasa ninali doubt kwa sababu kuu mbili
- kwa maelezo ya Mbu ni kuwa kama ataamua kurudi atarudi kwa kuwa anarudi kwa Zimwi limjualo na si kuwa anampenda/wapenda kuliko
- Pengine huyu dada hajui nini maana ya kupenda na kama alivyoelezea Lizzy hajawezatofautisha kupendwa na kutakwa
 
No, No, No, Mbu...

Kabla hujamtetea inabidi ujihakikishie (au utuhakikishie), who is wrong... hao wanaume au yeye. Hizi methali kwa mfano "nyani haoni kundule", "Mtenda akitendwa huhisi kaonewa", "Mkuki kwa nguruwe...", n.k ni za zamani lakini bado zianweza kuwa na maana hata sasa...

Unajua ingekuwa imetokea kwa mwanaume mmoja, tusingejiuliza sana at least, lakini wawili, tena mfululizo... Sitaki kumlaumu moja kwa moja, lakini nahitaji kwanza kujua why that??? Maana inanisababisha nianze na kuhoji "Kwa nini huyu wa sasa ambaye hajamuabuse, huyo dada hajampenda kiviile kama wale wengine wawili?!! Au ni kwa sababu 'yeye sio type ya ku-abuse abuse'? Maana sio siri, kuna wanawake wengi (sio wakurya wala nini), ambao automatically wanaivana zaidi na wanaume ngumi mkononi, na ukiwa mwanaume mstaarabu unaonekana 'not man enough'... na cha kusikitisha sana, zaidi ya 99% ya wanawake wanaoshobokea wanaume rude, HAWAJIJUI KAMA WANA 'HOBBY' HIYO...

...tupo ukurasa mmoja mkuu...yaani nakusoma huku nimeshika kidevu...unamkoma nyani giladi haswaaaaaa!...
 
Back
Top Bottom