GAGL
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 390
- 395
Jamani wa jf naomba tueleweshane hapa. UVCCM wanamtaka JK kuchukua maamuzi magumu katika masuala ya kitaifa. Mtanisamehe kama nitakuwa sikuelewa tamko lao. Lakini swali la msingi hapa ni hili, kama wanamtaka JK achukue maamuzi magumu kuhusu dowans, hivi kumfukuza kazi mtu au kumfunga kwa sababu ya wizi wa mali za umma, ni kuchukua maamuzi magumu?