Maamuzi mabovu ya mwamuzi Mathew Akrama yamepelekea timu ya Azam FC kupoteza mchezo wake wa pili dhidi ya Simba SC kwa kuruhusu kufungwa 2-1 katika mchezo uliochezwa uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
Katika mchezo huo mwamuzi huyo aliweza kutoa maamuzi ya upendeleo wa wazi kwa kikosi cha Simba kwani dakika ya 12 ya mchezo mchezaji wa Azam FC, John Bocco alipewa kadi nyekundu katika mazingira ya kutatanisha.
Maamuzi mabovu yaiua Azam FC Tanga Simba yashinda 2-1 | The Official Website of Azam Football Club
Katika mchezo huo mwamuzi huyo aliweza kutoa maamuzi ya upendeleo wa wazi kwa kikosi cha Simba kwani dakika ya 12 ya mchezo mchezaji wa Azam FC, John Bocco alipewa kadi nyekundu katika mazingira ya kutatanisha.
Maamuzi mabovu yaiua Azam FC Tanga Simba yashinda 2-1 | The Official Website of Azam Football Club