Kama tutaenda namna hii, wabunge wanapitisha maamuzi kwa ushabiki wa vyama, sijui nani sasa anatafuta kuleta vurugu nchi hii tuipendayo mno?. Kweli mwekezaji afanye biashara zake kwa miaka kumi pasipo kulipa kodi na uamuzi huu ukitetewa kwa hoja dhaifu, eti kisa halmashauri zitapewa fedha na serikali kuu?. Hapana nadhani wasiasa hasa wabunge wa ccm mnatutafuta ubaya, na mtatutpata tu.