Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Ubaguzi wa Maalim Seif unakwenda katika kumbukumbu tokea akiwa Waziri wa Elimu katika SMZ, aliyofanya pale yalitisha na hata pale alipowekwa benchi, baada ya kuondolewa kama Waziri Kiongozi, alitumia muda wake mwingi kupandikiza ubaguzi kati ya Waunguja na Wapemba.Mwiba,
Mkuu wa ngu yaani wewe unataka kiongozi anayeweza kusema fulani ni MPUMBAVU!.. hiyo sifa gani ya uongozi kama sio ujuha wake..Na nakuhakikishia hakuna mtu mbaguzi kama Sief ukisoma taarifa zake zote ni habari za Utenganishi mtupu...
Watunza kumbukumbu wanasema kuwa Maalim Seif aliandaliwa mahsusi na baadhi ya wazee wa Kipemba kupandikiza ubaguzi huu ambao kwa sasa upo wazi na unazidi kukomaa kila kukicha, na unaweza kuuona hata hapa JF kwa jamaa zangu wa kisiwa cha pili.