Maalim seif ni msaliti na CUF yako ni wasaliti marehemu

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
12,358
6,422
Naomba nikukumbushe Maalim Seif na CUF yako kuwa, hasa wewe Maalim, ni msaliti wa watu waliokufa wakipigania hoja ulizokuwa unazisimamia. Ni hakikka kuwa waliokufa zanzibar 2001 hawakufa ili wewe uwe makamu wa Rais. kama lingekuwa ndilo lengo, nina uhakikaa wasingeliyatoa muhanga maisha yao. Walikuwa na lengo zaidi ya kutafuta ufalme wako binafsi. Sasa umepata ulichokuwa unakitafuta (MADARAKA) na wala si ukombozi wa wazanzibari, umetulia, umeridhika kupigiwa saluti. Marehemu wanakusubiri kwenye lango la kuzimu wakuulize maswali kama hayo, Je tulikufa ili uwe makamu wa pili, upigiwe salute, etc
 
ni wivu 2 unakusumbua we ulitaka mwaka huu cuf wauawe tena siasa zenu zenu za kinafiki za huko bara sie hatuzitaki.nyie kule arusha meambulia nini zaid ya vifo 2.mbona hutaji mafanikio yaliyofiwa znz .sasa 2nakula matunda ya amani ye2.znz kwanza vyama baadae. Mjinga we
 
ni wivu 2 unakusumbua we ulitaka mwaka huu cuf wauawe tena siasa zenu zenu za kinafiki za huko bara sie hatuzitaki.nyie kule arusha meambulia nini zaid ya vifo 2.mbona hutaji mafanikio yaliyofiwa znz .sasa 2nakula matunda ya amani ye2.znz kwanza vyama baadae. Mjinga we

I am talking of the facts. Wewe unatukana. Ukweli utasimama hivyo. hakuna mafanikio yoyote zaidi ya kuungana na CCM tu. Siwezi kuonea wivu visiwa ukubwa wa shamba!!! I am talking of the facts around Maalim Seif.
 
sasa we ulitaka maalim afanze nini wakati waznz wameamua wenyewe .mi nawashangaeni sana humu ndani yaani kwenu nyinyi hakuna kiongozi yeyote wa cuf anayefanya vizur icpokuwa wa cdm 2 yaani utadhani cdm kuna malaika 2pu .ushabiki wa aina hii hausadii tz bali unaua nchi .kosoen na viongo-ziiiii wa cdm ili wajilekebishe
 
Back
Top Bottom