Maalim Seif ni Mfadhilri wa TV Imani amesha wahihiza Waislam kuichangia kwa nguvu Zote!!!

KING COBRA

JF-Expert Member
Nov 10, 2011
2,782
864
Maalim Seif, Shikh Ponda, Shikh Ali Basaleh ni wadau wa TV Imani ndio maana inatukana serikali na ukristo lakini haifungwi angalia hapa:
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akihutubia uwanja wa Taifa katika hafla ya kuchangisha kituo cha televisheni cha Imani.

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amewahimiza Waislamu nchini kote kujitokeza kwa wingi kuchangia uanzishwaji wa kituo cha televisheni kiitwacho Imani, kwa sababu televisheni hiyo itatoa mchango mkubwa kufuta dhana potofu dhidi ya Uislamu, na kutoa taaluma ya maadili mema ndani ya jamii.
Alisema hayo leo alipokuwa akihutubia kwenye hafla ya kuchangia uanzishwaji wa televisheni hiyo, inayoanzishwa chini ya Jumuiya ya Islamic Foundation, ambayo pia inaendesha Redio Imani iliyopo mkoani Morogoro. Maalim Seif alisema vituo vingi vya televisheni hapa nchini mara nyingi huonesha vipindi vinavyokwenda kinyume na maadili mema ya jamii, jambo ambalo kwa kiasi kikubwa linachangia kuharibu maadili ya jamii na zaidi vijana na watoto wadogo.
Makamu wa Kwanza wa Rais alisema mbali ya kujenga maadili mema kituo hicho cha televisheni pia kitaweza kufanya kazi kubwa ya kuwaelimisha wanajamii, juu ya mazuri na mchango wa Uislamu na kufuta dhana inayoenezwa na baadhi ya watu, dhana ambazo zinapotosha na kuipaka matope dini ya Kiislamu.
“Waislamu jitokezeni kuchangia mambo ya kheri, kuanzishwa kwa televisheni hii ni jambo la kheri, wafanyakazi serikalini, Mashirika ya Umma na taasisi binafsi changieni, na wala msione haya kujuilikana nyinyi ni Waislamu, Uislamu ndio dini sahihi” alisisitiza Maalim Seif.
Alieleza kuwa wapo waislamu wenye uwezo mkubwa na nafasi ya kuchangia mambo kama hayo yenye faida kwao na Waislamu wote, lakini kuna wengi miongoni mwao , licha ya kuwa na uwezo huo wamekuwa wagumu kutoa, na badala yake kujikita zaidi katika kuchangia mambo ya anasa.
Katika hafla hiyo, Waislamu mbali mbali walijitokeza kuchangia ambapo, Makamu wa Kwanza wa Rais alichangia shilingi milioni mbili kwa ajili ya uanzishwaji wa kituo hicho cha televisheni. Akizungumza katika hafla hiyo, Sheikh Ali Basaleh alisema vyombo vingi vya habari nchini, vikiwemo vituo vya televisheni havina tabia ya kutangaza mambo mema yanayogusa Uislamu na Waislamu, na badala yake vyombo hivyo vimekuwa vikijikita zaidi kuripoti mambo mabaya dhidi ya Uislamu na kuyapa umuhimu mkubwa.
Basaleh alieleza kwamba televisheni hiyo ya Kiislamu ikianza matangazo yake itasaidia kutangaza na kutoa taaluma juu ya mambo ya Uislamu, ikiwemo kufuta dhana hizo potofu zinazoupaka matope Uislamu. Mkurugenzi wa Islamic Foundation, Sheikh Arif Nahad alisema Waislamu wakiamua wanaweza, kwasababu hivi sasa wameamka baada ya miaka mingi ya kujiweka nyuma na kufunga mikono katika shughuli za kimaendeleo.
Sheikh Nahad alieleza kuwa hakuna sababu televisheni hiyo ishindwe kuanza, na kwa kuwa jumuiya yake imeahidi itatekeleza hilo na kuwaahidi mamia ya watu waliohudhuria kuwa televisheni hiyo ipo njiani inakuja.
Habari na Khamis Haji, Picha na Salmin Said (OMKR)
 
Duh!!!! Kwa hiyo wewe ulitaka waislamu wasichangie chombo chao!!!!! Hivi wanasiasa wengine wanaochangia michango mbalimbali makanisani nalo iwe ajabu?? au? kweli hampendi kuona uislamu unaendelea. Hivi hii thread ina hoja yenye kichwa kweli??? Kumbe udini ukuimvaa mtu hata akili yake inashindwa kufanya kazi!!!!!!
 
Duh!!!! Kwa hiyo wewe ulitaka waislamu wasichangie chombo chao!!!!! Hivi wanasiasa wengine wanaochangia michango mbalimbali makanisani nalo iwe ajabu?? au? kweli hampendi kuona uislamu unaendelea. Hivi hii thread ina hoja yenye kichwa kweli??? Kumbe udini ukuimvaa mtu hata akili yake inashindwa kufanya kazi!!!!!!

ndg hawa wagalatia bure kabisa, wamesahau kuwa viongozi wengi wa serikali wamekuwa wakichangia harambee zinazoendeshwa na makanisa. Hatujawahi sikia yakijadiliwa hayo JF. Bado wanaJF walio wengi wanamawazo mgando.
 
cant wait TV iman kuwa on Air! ..

wapo watakao nuna na kukasirika!
 
Anahutubia wasiofikiri mara mbili..........

Mara nyingi watu kuguswa kwa
vitendo mbalimbali ambavyo
vinafanywa na sisi Waislamu na
pia vilivyotajwa katika Biblia.
Matendo na Ujumbe huyo
yatakuwa katika maeneo kadhaa katika Biblia, Taurat na Injiyl. Sisi
tu pamoja katika ’Ibaadah na
matendo ambayo yalikuwa
yakifanywa na Manabii
waliotangulia na Mitume. Na bila
shaka dalili hizi ndo zinazidi kututhibitishia kuwa Uislamu ni
dini ya hakki kutoka kwa Allaah
na ni dini ya Mitume na Manabii
wote waliotangulia. Kama
ituakikishiavyo Qur-aan yenyewe
kuwa: “Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na
yaletuliyo teremshiwa sisi, na
yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na
Ismail na Is-haaq na Yaaquub na
wajukuu zake, na waliyopewa
Muusa na ’Iysa, na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka
kwa Mola wao Mlezi;
hatutafautishi baina ya yeyote
katika hao, na sisi tumesilimu
kwake.� Qur- aan 2:136 Hizi
zifuatazo ni baadhi ya ’Ibaadah iliyokuwa ikifanywa na Mtume
‘Iysa (‘Alayhis Salaam):
Waislamu Kufanya Harakati Fulani
Katika Maombi. Harakati Za
Maombi Mbalimbali Katika Biblia
Kutoka kwa Yesu: “Basi, akaenda mbele kidogo,
akaanguka kifudifudi, akasali:�
(Biblia, Mathayo 26:39) Kutoka
kwa Musa: “Kisha
Musa akainama mbio
kuelekea chini na kusali� (Kutoka 34:8
Biblia) Kutoka kwa Musa na
Haruni: “Musa na Haruni
wakaenda kutoka katika
Kanisa mbele ya mlango
wa hema na wakapiga nyuso zao chini� (Biblia, kitabu
cha Hesabu 20:06) Kutoka kwa
Ibrahimu: “Kisha Ibrahimu
akaanguka chini kwenye uso
wake ...� (Biblia, Mwanzo 17:03)
Kutoka kwa Yoshua: “Kisha Yoshua
akaanguka chini kwenye
ardhi juu ya uso wake na
akainama ...� (Yoshua
5:14 Biblia) Kutoka kwa Ezra na
watu wake: “Na wakapiga magoti wakamwabudu Bwana
kwa uso kwenye ardhi
“ (Nehemia 8:06 Biblia)
“Popote mnapokutana kufanya
ibada nataka wanaume wasali,
watu waliojitolea kweli na ambao wanaweza kuinua
mikono yao wakisali bila hasira
wala ubishi� (Biblia 1 Timotheo
2:08) “Eliya akainama chini ya
ardhi na akainamisha uso
wake kati ya magoti yake� (Ya kwanza Wafalme 18:42 Biblia) “Na
Bwana akasema na Musa,
akamwambia:� Nenda mbali na
mkutano huu, nami baada ya
muda nitawaangamiza “. Kisha
wakapiga magoti juu ya nyuso zao. “(Biblia ya nne Musa
16:44-45) Waislamu Husalimiana
Kwa Kusema “Assalamu
’Alaykum� , Maana Yake:
“Amani Iwe Nanyi� – Yesu
Alikuwa Akisalimiana Kwa Njia Hiyo Hiyo “Wanafunzi wote wawili
walipokuwa
wakiwaambia hayo, Yesu
mwenyewe akasimama kati yao,
akawaambia “Amani iwe juu
yenu.! “(Biblia, Luka 24:36) “Mnapoingia nyumbani wasalimuni
wenyeji wake kwa salamu ya
amani� (Biblia Mathayo 10:12)
Waislamu Mara Nyingi Hutumia
Neno - “Inshaa- Allaah� Ambalo
Maana Yake Ni - “Mungu Akipenda� - Maneno Haya Pia
Tunapata Katika Biblia “Ninyi
hamjui hata maisha yenu
yatakavyokuwa kesho! Ninyi ni
kama ukungu unaotokea kwa
muda mfupi tu na kutoweka tena. Mngalipaswa kusema:
“Bwana akitujalia tutaishi na
tutafanya hiki au kile� (Yakobo
4:14–15 Biblia) Kuomba Kutoka
Asubuhi Mpaka Jioni - Waislamu,
Kuswali Mara Tano Kwa Siku, Katika Biblia Tunasoma: “Kuanzia
pale jua linapopambazuka mpaka
pale linapozama jina la Bwana
litukuzwe� (Zaburi 113:3 Biblia)
Kuomba Kwa Nyakati Fulani Kwa
Siku - Waislamu Huomba Kwa Nyakati Fulani “Siku moja, saa
tisa alasiri, Petro na Yohane
walikuwa wanakwenda Hekaluni,
wakati wa sala� (Matendo
03:01) “Mwanamke mjane kweli,
asiye na mtu wa kumsaidia, amemwekea Mungu tumaini lake
na huendelea kusali na
kumwomba msaada usiku na
mchana. (Timotheo 5:05)
“Je, si Mungu basi yake kupata
haki ya kuchaguliwa, wakati wao kupiga kelele kwa Mungu mchana
na usiku? Je, hao wanapaswa
kusubiri?� (Luka 18:07 Biblia)
Waislamu Wanachukua Wudhuu
(Kutawadha) Kabla Ya Kuswali.
Biblia Inasema Yafuatayo “Na Musa na Haruni na wanawe
baadaye akanawa mikono na
miguu kwa maji kutoka humo.
Mara nyingi walipokuwa wakenda
ndani ya hema ya kukutania, au
kuja mbele ya madhabahu, Walikuwa
wakijiosha, kama Bwana
alivyomwagiza Musa. (Kutoka
40:31-32 Biblia) “Wale ambao
hujitolea na kujisafisha kwa
maombi katika bustani, wakiongozwa na mtu ambaye
anasimama pale katikati ...�
(Isaya 66:17 Biblia) Biblia Inataja
Nyumba Ya Maombi, Hii Inakuwa
Tafsiri Ndani Ya Kiarabu Na
Kiswahili Masjid Ni Msikiti “Na akawaambia: Imeandikwa: Nyumba
yangu itaitwa nyumba ya sala ...
'(Mathayo 21:13 Biblia)
“... Kwa maana nyumba
yangu itaitwa nyumba ya
sala kwa watu wote� . (Isaya 56:7 Biblia) “Na
akawaambia:� Imeandikwa:
Nyumba yangu itaitwa nyumba
ya sala. Lakini ninyi mmeifanya
kuwa pango la wanyang `anyi� .
(Biblia St Mathayo 21:13) Waislamu Kufunga Mwezi Wa
Ramadhaan Na Kuwatia Moyo
Kufunga Kwa Hiari. Swawmu
Imeandikwa Hata Katika Biblia
“Akafunga siku arubaini mchana
na usiku, naye hatimaye kuwa na njaa� (Mathayo 4:02 Biblia)
“Heri wenye njaa na kiu ya
kufanya atakavyo Mungu, maana
watashibishwa� (Mathayo
5:06 Biblia) “Mnapofunga, msiwe
na huzuni kama wanafiki. Wao hukunja nyuso zao wapate
kuonekana na watu kuwa
wanafunga... ..� (Mathayo
6:16-18 Biblia) Sehemu ya Luka
ya Biblia unaweza kusoma kama
ifuatavyo: “Mtu anaweza pia kufunga kwa hiari katika nyakati
za Agano Jipya kwa kawaida juu
ya Jumatatu na Alhamisi. Kwa
kufanya hivyo kila wiki ilikuwa ni
ishara ya maalumu ya
uchamungu. (Biblia, Luka 18:12) Waislamu Kutoa Kwa Maskini
(Swadaqah)- Upendo. Katika
Biblia Tunasoma “Jihadharini
msije mkafanya matendo yenu
mema mbele ya watu kusudi
mwonekane nao. La sivyo, Baba yenu aliye mbinguni hatawapeni
tuzo. Basi, unapotoa sadaka,
usijitangaze. Usifanye kama
wanafiki wafanyavyo katika
masinagogi na njiani ili watu
wawasifu. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata malipo yao.
Lakini wewe unapotoa sadaka,
mkono wako wa kushoto usijue
mkono wa kulia umefanya nini.
Toa sadaka yako kwa siri. Naye
Baba yako aonaye yaliyofichika, atawapa thawabu. “(Mathayo
6:1-4 Biblia) Waislamu Hawali
Nguruwe, Damu, Au Wanyama
Wafu. Biblia Pia Inakataza Hilo
“Nguruwe msimle; ana kwato
zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. Kwa sababu
wanyama hao ni najisi msile
nyama yao wala msiguse mizoga
ya� (Biblia Walawi 11:7-8)
Baadaye katika aya ya 21 ya
sura hiyo tunasoma yafuatayo: “usile kitu kilichokufa chenyewe.
“... Na wale wenye kula nguruwe
na uchafu mwingine, ndiyo, pia
panya, watapotea wote, asema
Bwana� . (Isaya 66:17 Biblia)
“Bali tuwapelekee barua kuwaambia wasile vyakula
vilivyotiwa najisi kwa
kutambikiwa sanamu za miungu;
wajiepushe na uasherati; wasile
mnyama yeyote aliyenyongwa,
na wasinywe damu.� (Biblia Matendo 15:20) “Ni lazima tu
subiri si kwa kula damu. Kwa
sababu damu ni roho na roho
usile na nyama. Unapaswa
kumwaga kwenye ardhi kama
maji “. (Kumbukumbu 12:23-24 Biblia) “Na kama mtu wa nyumba
ya Israeli, au mmoja wa wageni
ambao wanaishi kati yao,
akinywa damu yoyote, nami
nitaweka uso wangu dhidi yake
ambae anakunywa damu na kumkatilia kwake mbali na watu
wake� (Mambo ya Walawi 17:10
Biblia) “Na hakuna damu yoyote
mtayokunywa, ama kwa ndege
au mifugo, bila kujali wapi mlipo.
Kila mtu anaekunywa damu yoyote, huyo atakatiliwa mbali
na watu wake “. (Walawi 7:26-27
Biblia) Ni Haramu Kwa Waislamu
Kunywa Pombe. Biblia Inatueleza
Wazi Yafutayo “Uasherati na
pombe lazima uondoshe akilini� (Hosea 4:11 Biblia) Je,
wamesahau kwamba watu
wabaya hawataurithi Utawala wa
Mungu? Msidanganyike! Watu
wanaoishi maisha ya uasherati,
wanaoabudu sanamu, wazinzi, au walawiti. wevi, wachoyo, walevi,
wasengenyaji,
wanyang'anyi, hao wote
hawatashiriki Utawala wa Mungu.
(Biblia Kwanza Wakorintho
6:9-10) Katika Uislamu ni haramu Riba. Biblia pia inakataza Riba
“Unaweza kukopa fedha kwa ajili
ya maskini yeyote kati yenu, kati
ya watu wangu, hivyo ni lazima si
kitendo dhidi yake kama walaji
riba. Wala kuongeza juu yake faida yoyote� (Biblia, Kutoka
22:25) “Usichukue faida yoyote
ya ndugu yako, ama ya pesa au
chakula au kitu kingine chochote
ikawa umechukua riba� (Biblia,
Kumbukumbu la Torati 23:19) “Na kama mnawakopesha wale
tu mnaotumaini
watawalipeni, je, mtapata tuzo
gani? Hata wenye dhambi
huwakopesha wenye dhambi
wenzao ili warudishiwe kima kilekile!� . Biblia (Luka 06:34) “...
faida na kuchukua riba - Je, ndo
ataishi? Hapana, lazima wafe,
lakini kwa sababu yeye kashiriki
katika maovu hayo, atakuwa
katika adhabu na kifo. damu yake atakuja juu yake “. (Biblia
Ezekieli 18:13) Waislamu huchinja
na kutoa Swadaqah ya kondoo
mwanamke akijifungua. Hii pia
imetajwa katika Biblia. “Na siku
yake ya kujisafisha ikifika, ikiwa ni mvulana au binti, atachinja
kondoo mwenye umri kwa
sadaka ya kuteketezwa ...
(Mambo ya Walawi 00:06 Biblia)
Waislamu Hutahiriwa. Yesu Na
Ibraahiym Na Manabii Wote Wa Israeli Walikuwa
Wakitahiriwa? “Siku nane
baadaye, wakati wa kumtahiri
mtoto ulipofika, walimpa jina
Yesu, jina ambalo alikuwa
amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba '(Biblia, Luka
2:21) “Na Mungu akamwambia
Abrahamu:� Utunze agano
langu, wewe na uzao wako
baada yako, na vizazi vyote. Na
hili ndilo agano kati ya mimi na wewe na uzao wako baada yenu,
ambaye mtazishika kila uume kati
yenu kutahiriwa katika govi
zenu, na hii itakuwa ni ishara ya
agano kati ya mimi na wewe.
Vizazi, kila mtoto wa kiume kati yenu atatahiriwa, wakati ni umri
wa siku nane, kama walivyofanya
mtumishi wa kuzaliwa katika
nyumba yako na yeye ambaye
kanunuliwa kwa fedha za kigeni
kutoka kwa watu ambao si wa ukoo wako. Utahiriwa ni kwa
mtumishi wenu na aliozaliwa
katika nyumba
yako na yule uliemnunua kwa
fedha. Na ndiyo ahadi yangu
katika mwili wako wazi kuwa agano la milele. Lakini mmoja wa
watoto wa mataifa mengine mtu
mmoja ambaye govi haijawahi
kutahiriwa, naye atatengwa na
watu wake. Yeye kavunjwa ahadi
yangu. (Biblia, Mwanzo 9-14) “Na Ibrahimu alichukua mtoto
wake Ismail na watumishi wake
wote, mzaliwa wa nyumba yake
na watu waliokuwa
wamenunuliwa kwa fedha, kila
uume kati ya watu wa Ibrahimu, na kutahiriwa siku hiyo govi yao
ambayo Mungu alimwambia. Na
Abrahimu alikuwa na miaka tisini
na tisa. Wakati govi yake
ilitahiriwa na mtoto wake Ismail
alikuwa na umri wa miaka kumi na tatu wakati govi yake
ilitahiriwa. Tarehe ya siku hiyo
Ibrahimu katahiriwa, na mtoto
wake Ismail. Na ya watu wote
katika nyumba yake, mzaliwa wa
watumishi wake wa nyumbani na wale ambao walikuwa
wamenunuliwa
kwa fedha kutoka mataifa ya
nje, walikuwa wametahiriwa
pamoja naye “. (Mwanzo
17:23-27 Biblia) “Na Ibrahimu katahiriwa mtoto wake Isaka
alipokuwa na umri wa siku nane,
kama Mungu alivyomwamuru� .
(Biblia, Mwanzo 21:04) Kuhusu
kutahiri ipo katika biblia: “Agano
la Kale liliteuliwa na Mungu kama ishara ya pekee kwa watu wa
Israeli, na kama ukumbusho wa
ahadi zao pamoja naye. (Kutoka
17:09 a, 3 Mwanzo 0:03, Yohana
7:22) Pamoja na kwamba mistari
yote ya Wayahudi inashuhudia hivyo ikawa ni “moto� na utata
suala ambalo lilisaidia kugawa
watu baada ya kipindi cha Yesu.
Kuoa Wake Wengi Katika Uislamu.
Hata Katika Biblia Kumetajwa
Kuoa Wake Wengi “Akichukua mke mwingine, basi asifanya
upungufu wowote katika mlo wa
zamani, mavazi au sheria za
ndoa� . (Biblia, Kutoka 21:10)
“Kama mtu ana wake wawili,
mmoja anayempenda na mwingine ambaye hamuoni ...� (Biblia,
Kumbukumbu la Torati 21:15)
“Yeye alikuwa na wake
wawili ...� (Biblia, Samuel 01:02)
“Kwa hiyo, Daudi alifika huko
pamoja na wake zake wawili ...� (Biblia ya Samuel 02:02) “Lakini
wakati wa usiku aliamka na
kuchukua wake wake wawili na
watu wake wawili wahuduma na
wanawe kumi na mmoja….�
(Biblia, Mwanzo 32:22 Uislamu Unaamuru Wanaume Kufuga
Ndevu: Tuangalie Biblia
Inatwambiaje Kuhusu Suala Hili
“Msikate pande yote ya nywele
zenu ya vichwa, wala msikate
pande ya ndevu zenu. (Biblia, Walawi 19:27) Katika Biblia
imetajwa katika maeneo mengi,
kwamba manabii na waumini
walikuwa na ndevu. Tazama kwa
mfano Ezra 9:03, Mambo ya
Walawi 21:05, Nehemia 13:26 Najivunia Kuwa Muislam
 
ndg hawa wagalatia bure kabisa, wamesahau kuwa viongozi wengi wa serikali wamekuwa wakichangia harambee zinazoendeshwa na makanisa. Hatujawahi sikia yakijadiliwa hayo jf. Bado wanajf walio wengi wanamawazo mgando.

ndugu acheni kulalamika fanyeni yote lakini kumbukeni kuanzisha na shule zenye tija
 
Acheni ubwege mbona kina Lowasa Pinda wanachangia makanisa mapesa mengi hamsemi? Akifanya muislam kuhusu dini yake mnaumia. Shame on u!
 
Acheni ubwege mbona kina Lowasa Pinda wanachangia makanisa mapesa mengi hamsemi? Akifanya muislam kuhusu dini yake mnaumia. Shame on u!

tatizo sio muislam kuchangia dini yake, tatizo ni hicho chombo alichochangia kinahamasisha uchochezi na kinajenga chuki baina ya waislamu na wakristo jambo ambalo ni hatari kwa amani na usalama wa nchi yetu..
 
tatizo sio muislam kuchangia dini yake, tatizo ni hicho chombo alichochangia kinahamasisha uchochezi na kinajenga chuki baina ya waislamu na wakristo jambo ambalo ni hatari kwa amani na usalama wa nchi yetu..

na vpi vyombo vyenu, maana Chuki kwako ni ukweli. unataka kusema waislam hawateswi nchii hii? alafu unajiits great thinker.

hebu tuache ku reply ukiona huna lakusema. kaa kimya jifunze
 
tatizo sio muislam kuchangia dini yake, tatizo ni hicho chombo alichochangia kinahamasisha uchochezi na kinajenga chuki baina ya waislamu na wakristo jambo ambalo ni hatari kwa amani na usalama wa nchi yetu..

Mkuu kwani nyinyi si mna ATN mbona hatuongei ama sio ya Tv ya Wakristo?
Swala la Imani kitu kingine kabisa Mkuu liache kama lilivyooo...
Kila Mtu ana uhuru wa kuabudu nakuchangia dini yake
Ndio maana akina Pinda,Lowassa, Mama Rwakatale n.k wanachangia nakusapot dini zao sembuse Mariam Seif!!.
Serikali haina dini bt Waliondani ya serikali wana dini ndio maana wanapoteuliwa huapishwa kwa Imani ya dini zao.
Acha tusapot na kuwekeza ktk dini yetu tukitegemea malipo kwa Mungu
Ama ww unataka tusapoti nakuweza anasa.
Naww pia waweza kuja kukeza Dini ya haki Islam
Upo Mkuu.
"Karibu sana"
 
Duh!!!! Kwa hiyo wewe ulitaka waislamu wasichangie chombo chao!!!!! Hivi wanasiasa wengine wanaochangia michango mbalimbali makanisani nalo iwe ajabu?? au? kweli hampendi kuona uislamu unaendelea. Hivi hii thread ina hoja yenye kichwa kweli??? Kumbe udini ukuimvaa mtu hata akili yake inashindwa kufanya kazi!!!!!!

Bro nakugongea like u truely wise man
 
Kweli mods sijui hawachuji habari zinazo postiwa humu nakumbuka miaka mitano nyuma jf it was realy ya ma great thinkers sio sasa jf imekua ya wasema chochote maana huyu mleta mada ni sawa na mnywa gongo wa kariakoo mm ningekua mod nisiingei publish huu utumbo asa maalim kuichangia tv imaan ndio imekuuma basi naserekali inayowapa exptn makanisa yakaingiza bbidhaa kwa majina ya kanisa alafu yakauzwa vp hapo mbona husemi. Naogop kusema mengi nisije nikapigwa ban bure
 
tatizo sio muislam kuchangia dini yake, tatizo ni hicho chombo alichochangia kinahamasisha uchochezi na kinajenga chuki baina ya waislamu na wakristo jambo ambalo ni hatari kwa amani na usalama wa nchi yetu..

umewahi kuitazama TV IMAAN? Au udini unakusumbua? Upuuzi hampendi maendeleo ya waislam na itaendelea maana wako hewani miezi miwili ijayo Digital
 
Mleta Mada muongo na mnafiki,mfitini nani kamwambia Maalim Seif ni mfadhili wa Taasisi ya Islamic foundations? Yani milioni mbili kwenye harambee uwanja wa Taifa tayari ni MFADHILI?

MLETA THREAD ana propagate Udini na tumeshachoshwa na mada za sampuli hizi hapa zomba come here meen
 
Last edited by a moderator:
Kweli mods sijui hawachuji habari zinazo postiwa humu nakumbuka miaka mitano nyuma jf it was realy ya ma great thinkers sio sasa jf imekua ya wasema chochote maana huyu mleta mada ni sawa na mnywa gongo wa kariakoo mm ningekua mod nisiingei publish huu utumbo asa maalim kuichangia tv imaan ndio imekuuma basi naserekali inayowapa exptn makanisa yakaingiza bbidhaa kwa majina ya kanisa alafu yakauzwa vp hapo mbona husemi. Naogop kusema mengi nisije nikapigwa ban bure

Naungana na ww mia kwa mia mkuu JF kwa sasa haina mchango wa maana kwa jamii zaidi ya uchochezi. Vyombo husika vinapaswa kuingalia na kuchukua hatua stahiki. JF imekuwa kokoro, kila mwenye matusi ambayo amekosa sehemu ya kuyatolea bac anakimibilia JF!
 
Duh!!!! Kwa hiyo wewe ulitaka waislamu wasichangie chombo chao!!!!! Hivi wanasiasa wengine wanaochangia michango mbalimbali makanisani nalo iwe ajabu?? au? kweli hampendi kuona uislamu unaendelea. Hivi hii thread ina hoja yenye kichwa kweli??? Kumbe udini ukuimvaa mtu hata akili yake inashindwa kufanya kazi!!!!!!

Yes! Umezungumza ya maana mkuu. Hem wape hao wenye chuki na uislamu, wasokwisha kuupaka matope na kuuita majina mabaya.
 
Back
Top Bottom