Anatafuta nini Tanganyika? Hataki kuachana na koloni?
Lazima awafate waislamu wake Tanganyika, kwani ahadi yake ya dola ya kiislamu yaani kimbilio la waislamu endapo makafir watawaita magaidi kuwa hii ahadi ni ya waislamu wote mpaka wa Tanganyika?
hata mimi ninajiuliza huyu mtu ana tatizo gani. Hataki tanzania iwepo lakini bado anakuja tanganyika kuhutubia. Si asusie tujue kweli ana msimamo kuhusu madai yake ya zanziba huru? Ama kweli hajui alifanyalo!
huyu mfuasi wa uamsho anafuata nini bara? Naona anakuja kutoa tamko kibaraka wao ponda aachiwe mara moja.
Huyu mfuasi wa Uamsho anafuata nini bara? Naona anakuja kutoa tamko kibaraka wao Ponda aachiwe mara moja.
maalim seif ni kirusi....... Sijui kwa nini hakifi halafu kinapenda kweli madaraka...hapo kilipo bado kina ndooto za kumng'oa ali shein uraisi...hakuna chocchote mtu huyu..askari wake kauwawa yeye anaona sawa tu.......mdini , mbaguzi , mgawanyaji, mbinafsi, mwarabu, mchonganyishi, mpiganishi, mkorofi, bedui, muamsho...........kila sifa mbaya ya nchi hii ni yake......ali shein muangalie vizuri huyu ...zanzibar anayoihubiri ikipatikana atataka uraisi, akiupata sawa.....akiukosa........atachukua pemba yake awe sultani wa pemba.... Yangu macho......mtu gani asiyefaninania utu uzima...