MWIBA WA KATANI
Member
- Feb 26, 2012
- 39
- 42
Anataka kumpa mmewe siku 2 awe amemwachia Ponda na wahuni wenzake vinginevyo CCM isahau unyumba kutoka kwa CUF...Sijui atatoa tamko na yeye..
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
MAALIM SEIF Kuunguruma KESHO Jumapili (21/10/2012)Jijin DAR ES SALAAM(Mkutano wa Hadhara utakuwa Buguruni Shell) Kuanzia saa 8 mchana.
View attachment 68810
aseme alimficha wapi farid wa uamsho........
Kweli hapa kuna tatizo sio bure ni kigeugeu huyu zaidi ya nyoka huku bara anakuja kufanya nini wakati haitaki Tanganyika na muungano??? Ni mwongo, mnafiki na muuwaji tena mlafi wa madaraka . Anakuja huku kama nani? Mzanzibar, makamu mwenyekiti wa CUF au makamu wa pili wa Zanzibar?
Badala ya kulifanya hili jukwaa liwe la kujengeana hoja naona sasa limekua na vituko vya kitoto zaidi ya facebook! Ndio maana wenye heshima zao wamekimbia na majuha wanachukua nafasi tena wanatumia mbinu mpya ya kutumia user name za kiislamu katika kuukashifu uislamu. Kweli Tanzania nchi ya ajabu sana duniani!!
aseme alimficha wapi farid wa uamsho........
yaani hizi internrnt za bure za wajanja basi hii forum sasa imejaa watu wajinga wajinga
imekuwa hata haina maana kabisa
maalim seif kuunguruma kesho jumapili (21/10/2012)jijin dar es salaam(mkutano wa hadhara utakuwa buguruni shell) kuanzia saa 8 mchana.
View attachment 68810
Uamsho Zanzibar wameanza kazi!MAALIM SEIF Kuunguruma KESHO Jumapili (21/10/2012)Jijin DAR ES SALAAM(Mkutano wa Hadhara utakuwa Buguruni Shell) Kuanzia saa 8 mchana.
View attachment 68810