Izack Mwanahapa
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 497
- 236
Wakati mgogoro wa ndani ya CUF baina ya Hamad Rashid na makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar Maalim Seif ukizidi kushika kasi, hatimaye Maalim Seif amejitokeza na kuonyesha wazi nia yake ya kumpinga Prof. Lipumba ni baada ya kutoa kauli kuwa "Rais ajaye lazima atoke Zanzibar" huenda nia yake ni kugombea urais Bara?
Source: ITV
Source: ITV