Maalim SEIF Jijini MWANZA

Kweli bora mvua iendelee kuua wabongo, akili yetu ni ndogo, walivyo piga kura ya umoja wa kitaifa, wabara, hatukushirikishwa, iweje leo anakuja kama mtemi? Watanyanyika hoppless kabisa.
 
Maalim Seif hataki muungano lakini anapenda ving'ora vya bara ahaaaaaaaaa.
 
Substance and Travellling Allowances (SNT / per diem) hizo ndizo zinazowasumbuga viongozi wetu wengi TZ. Hiyo ni ngazi zote npaka primary school. Bongo njia za kutengeneza pesa kwa mfanyakazi ni safari na vikao au ushiriki kwenye kuifisadi nchi.
 
Hadi hapa nasema bado sijamnyamazia Mzee Masharubu KUAZIMWA RASILMALI AMA ZA SMZ AU JMT bila ustahili wowote Ki-Katiba kuendeshea mikutano na ziara binafsi za KAFU kila kona Tanzania Bara wakati ambapo yeye mtu akitaka kufanyaa hivo kule kwake Pemba unakuta tayari kakunja ngumi sasa yote haya kitu gani??????????????

Mkemea Muungano wetu namba moja Tanzania ni yeye mpaka povu kumtoka mdomoni!! Hebu angalia tunavyompa hali nzuri sana ya kidemokrasia kufanya siasa kila kijiji bila hata mtu mmoja kumrushia hata pweza usoni, lakini usikie TLP wameenda kufanya hivo hivo kule Pemba utasikia mara Wabara hawa mara Makafir - basi taaabu tuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!

Demokrasia iwe ni kote kote na kibaba kiwe ni kile kile Maalim Seif nawe kajifunze na ukawafunze pia wafuasi wako siasa hizi hizi tulivu na za kistaarabu.


Hapa Mwanza alipokelewa kwa heshima zote, na leo kasindikizwa hadi MAGU kwa escort maalum kabisa. Jana walionekana wananchi wachache sana, hata 10 hawafiki wakipeperusha bendera za CUF wakati akipita mitaani/ barabarani
 
kweli bora mvua iendelee kuua wabongo, akili yetu ni ndogo, walivyo piga kura ya umoja wa kitaifa, wabara, hatukushirikishwa, iweje leo anakuja kama mtemi? watanyanyika hoppless kabisa.

naunga mkono hoja
 
Hivi kama katiba ni mkataba Kati ya viongozi na wananchi inakuaje mkataba unavunjwa na wananchi wanakosa pa kuanzia kudai haki? Jibu ni kwamba katiba tuliyonayo ni ya viongozi na si ya wananchi. Tuitupe.

watu nashanga mnasema katiba imevunjwa. Hamkumbuki zanzibar kulikuwa na kula ya maoni waliopendekeza serikali ya umoja.
 
hivi ninyi wafurukutwa wa chama cha maandamano na migomo mmekosa cha kuongea ila ni kumsema maalim sefu na kufuatilia ziara zake mpaka chooni? sefu ni mtanzania, katibu mkuu wa cuf, na zaidi ni makamu wa kwanza wa rais wa serikali ya umoja wa kitaifa zanzibar ambayo KATIBA yake inatambuliwa rasmi na katiba ya muungano hivyo acheni ubaguzi wenu na upuuzi wenu ninyi wana chama wa chama cha maandamano na migomo.

SIMPLE MIND DISCUSS PEOPLE.....

Katiba ya JMT, 1977 inamtambua Waziri Kiongozi wa Zanzibar, sio Makamo/Makamu wa Kwanza wala wa Pili wa Rais wa Zanzibar!
 
in short angekuwa katibu wako slaa usinge hoji. So nivema ukatulia. Itifaki imezingatiwa yule ni kiongozi. Wht do you espect atembee bila ulinzi. Chukulia tu hata makamu wa rais wa tanzania akiwa na ziara za mikoa hata za kibinafsi na kichama lazima awe na ulinzi. Yule ni makamu wa nchi ya zanzibar popote duniani anapokwenda hupata heshima kama hiyo unayo ilaumu by they we nimdogo huwezi jilinganisha na maalim kama hujui fuatilia historia huyu ndo wapili baada ya nyerere ndo wenye kujua siri ya nchi. Hebu fuatilia sio tu uropoke.

Tatizo ni kwamba Katiba ya JMT, 1977 haimtambui huyo Makamo/Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, pia ana ubaguzi sana na Watanganyika! Hizo siri anazojua akae nazo kwao Pemba, zitamsaidia yeye na familia yake!
 
watu nashanga mnasema katiba imevunjwa. Hamkumbuki zanzibar kulikuwa na kula ya maoni waliopendekeza serikali ya umoja.

Hiyo "kula" ya maoni inaruhusiwa kuvunjwa kwa Katiba yetu ambayo nina uhakika Karume JR aliapa kuitetea na kuilinda?
 
..sasa ndiyo anawakumbuka wa-Tanganyika?!!

..Maalim anatafuta msaada wa wa-Tanganyika waokoe jahazi la CUF linaloelekea kwenda kombo.

..Hamad Rashid anadai alikuwa peke yake kuipigia debe CUF huku Tanganyika.
 
Maalim Seif anaweza kuhisi yuko sahihi saaaanu kwa kumpiga kumbo huyu mbunge Hamad Rashid ambaye naye wananchi hatuna imani sana naye lakini Mzee Masharubu asidhani kwamba watu hatumsomi yeye na janja janja za siasa za nchini.
 
kule kwimba kuna mzee mmoja anaitwa MAGENI,,ALIWAHI KUWA WAZIRI KATIKA AWAMU YA KWANZA NA NI MOJA YA WAASISI WA CUF....NAFIKIRI MAALIM KAENDA KUOMBA MWONGOZO
 
Nahisi naanza kuelewa kwa nini serikali inaajiri polisi wengi kuliko waalimu........!

polisi waliopo nchini ni around 35,000. ni kwa mjibu wa URA, ambapo kila askari anatakiwa kuhudumia wananchi kati ya 1,500 hadi 2,000. una takwimu za walimu?
 
Unajua wazanzibari wanatucheka sana watanganyika kwa ujinga wetu. kaeni mkijua hivyo. na sijui kwanini sa ivi viongozi wetu ndo wanakuwa wagumu kuuterminate muungano. Mbona wazanzibari walishaukataa zamani tu? Tindu Lissu bunge likianza amsha tena harakati mpaka kieleweke. Nakupenda Tanganyika
 
Hana lolote mchovu mkubwa huyo!Masaburi yapesa za TZ kumlipua huyo Rashid Hamad!Pumbavu sana!:photo:
 
Kadogooo

Hatupingi ujio wa seif Mwanza kwa sababu za upemba wake na wala hatumchukii. Tunalolipinga ni kutumia lasilimali za watanganyika kwa shughuli za chama chake. Angalia magali ya polisi na selikali kwa ujumla ambayo yako kwenye msafara, magali hayo yanatumia mafuta, madereva na rasilimali zingine za watanganyika kwa malengo ya chama cha CUF pekee ambachoo kimejaa wapemba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom