Maalim SEIF Jijini MWANZA

Hivi hizi blaaaa blaa za katiba bubu zitaisha lini? je tutazifukia au ububu wetu ndiyo utakuwa muongozo wetu?
Rais wa zanzibar ni waziri asiye na wizara maalu, je makamu wa rais ni naibu waziri asiye na wizara maalum? hivi uwazi na ukweli uko wapi? je, mwakiyembe akienda zanzibar mabarabara yatafungwa apite? Tanzania sijui kama tutakuja kuwa wakweli na wawazi ktk kila jambo, nchi kama bonde la mzimbazi kila mwenye nguvu atalima mchicha apendavyo, akikutana na mabaunsa atajiju, sioni kama wapo wenye kuwa na uchungu ktk sirikejeri iliyopo kusema uwazi na kila atakaeona akubali kuwa hapa ni kweli, lkn Seif kuwa na hadhi zaidi ya Mwakiyembe haniingii aklini kama kweli cmazingaombwe ya rais wa zenji kuwa waziri hana ofisi.
Nashindwa kusema, ngoja tuone mbele ya safari itakuja kuwa vipi.
 
hivi ninyi wafurukutwa wa chama cha maandamano na migomo mmekosa cha kuongea ila ni kumsema maalim sefu na kufuatilia ziara zake mpaka chooni? Sefu ni mtanzania, katibu mkuu wa cuf, na zaidi ni makamu wa kwanza wa rais wa serikali ya umoja wa kitaifa zanzibar ambayo katiba yake inatambuliwa rasmi na katiba ya muungano hivyo acheni ubaguzi wenu na upuuzi wenu ninyi wana chama wa chama cha maandamano na migomo.

Simple mind discuss people.....

tanganyika hatuna umoja wa kitaifa wala tanzania hicho kitu hakipo. Ana maeneo mengi ya kufanya ziara na kukagua shughuli za maendeleo huko kwao, kwa nini aje atumie na rasilimali za bara? Fikiria vizuri aisee

 
Maalim Seif nadhani akiwa kwenye Ziara za Tanzania bara anatakiwa kuwa kama katibu mkuu wa chama chake na si kama Makamu wa Rais smz..Sasa hapo wasomi wanaiojua Katiba ya njii waseme what next..

Hapa Mwanza alipokelewa kwa heshima zote, na leo kasindikizwa hadi MAGU kwa escort maalum kabisa. Jana walionekana wananchi wachache sana, hata 10 hawafiki wakipeperusha bendera za CUF wakati akipita mitaani/ barabarani
 
hivi ninyi wafurukutwa wa chama cha maandamano na migomo mmekosa cha kuongea ila ni kumsema maalim sefu na kufuatilia ziara zake mpaka chooni? sefu ni mtanzania, katibu mkuu wa cuf, na zaidi ni makamu wa kwanza wa rais wa serikali ya umoja wa kitaifa zanzibar ambayo KATIBA yake inatambuliwa rasmi na katiba ya muungano hivyo acheni ubaguzi wenu na upuuzi wenu ninyi wana chama wa chama cha maandamano na migomo.

SIMPLE MIND DISCUSS PEOPLE.....

Hawa Polisi wamedata sana hawana aibu Seif ni nani kwenye serikali ya muungano mpaka apoteze muda wa askari wetu ,azuie shughuli za wananchi,huu ni wizi wa wazi hatumjui sisi Seif huku kwetu Tanganyika
 
hawa polisi wamedata sana hawana aibu seif ni nani kwenye serikali ya muungano mpaka apoteze muda wa askari wetu ,azuie shughuli za wananchi,huu ni wizi wa wazi hatumjui sisi seif huku kwetu tanganyika

umenena ila kadogoo katapika
 
tanganyika hatuna umoja wa kitaifa wala tanzania hicho kitu hakipo. Ana maeneo mengi ya kufanya ziara na kukagua shughuli za maendeleo huko kwao, kwa nini aje atumie na rasilimali za bara? Fikiria vizuri aisee


hayo nimawazo yako na unauhuru wa kufikiri hivyo ila ukweli na uhalisia uko pale pale kuwa wenzetu wa zanzibari wameamua kupitia katiba yao kuwa na serikali ya mseto na kumaliza uhasama uliokuwa ukichochewa na mahasidi wa huku bara hivyo kama roho yako inauma kwa wenzetu kupatana na kuamua kusahau yaliyopita, mungu akusamehe na akuondolee kutu iliyokuganda ktk moyo wako.
 
ndo atumie polisi wa tanzania? Ndo atumie magari ya serikali ya tanzania? Ndo afunge road ili yeye apite?

Katishiwa kuvuliwa ukatibu, msasa anaganga kila kona. Kwani kikwete anayeenda kila mara, bagamoyo hawako?

ana hadhi ya kiongozi hiyo ni stahiki yake akiwa kiongozi wa nchi....sioni tatizo labda uwe na roho ya korosho ndo itakuuma.
 
atakpokuwa raisi wa Zanzibar kunaviumbe watajinyonga kabisa..mi nawashauri mjinyonge sasa hivi ili atakpokuwa rais tuwazike kabisa
 
yote haya yasinge ongewa kama slaa angepewa nafasi mfano wa maalim nakutembelea gari la serikali wasinge ongea kabisa. Yote ni wivu tu kuona mtu ana lindwa anapewa heshima linawauma sana.
 
Hivi huyu mpemba kilasiku kukicha analaani muungano, halafu kukisha yuko kwetu,sasa sijui tumuelewe vipi ?[/QUOT
KAMA HUELEWI SASA HV HAUTAELEWA KABISA...TATIZO KAZIRA KAMAEKUUUMAAAAAAAAAAAA SAAAAAAAAA.JINYONGE.HARAKATI ZITAENDELEA
 
hayo nimawazo yako na unauhuru wa kufikiri hivyo ila ukweli na uhalisia uko pale pale kuwa wenzetu wa zanzibari wameamua kupitia katiba yao kuwa na serikali ya mseto na kumaliza uhasama uliokuwa ukichochewa na mahasidi wa huku bara hivyo kama roho yako inauma kwa wenzetu kupatana na kuamua kusahau yaliyopita, mungu akusamehe na akuondolee kutu iliyokuganda ktk moyo wako.

uko sahihi ndugu na mimi niko sahihi. Umoja wa kitaifa unawahusu wazanzibar na si watanzania. Maalimu seif ni kiongozi zanznibar, hapa bara ni kiongozui wa chama tu. Iweje atumie rasilimali za taifa kwa wadhifa wa ukatibu cuf? Ni halali?
 
Hapa Mwanza alipokelewa kwa heshima zote, na leo kasindikizwa hadi MAGU kwa escort maalum kabisa. Jana walionekana wananchi wachache sana, hata 10 hawafiki wakipeperusha bendera za CUF wakati akipita mitaani/ barabarani

nikweli unayosema. Zitaingizwa picha humu af tuone hao watu kumi unaosema acha mzaha kama roho inakuuma kajinyonge tu.
 
uko sahihi ndugu na mimi niko sahihi. Umoja wa kitaifa unawahusu wazanzibar na si watanzania. Maalimu seif ni kiongozi zanznibar, hapa bara ni kiongozui wa chama tu. Iweje atumie rasilimali za taifa kwa wadhifa wa ukatibu cuf? Ni halali?

in short angekuwa katibu wako slaa usinge hoji. So nivema ukatulia. Itifaki imezingatiwa yule ni kiongozi. Wht do you espect atembee bila ulinzi. Chukulia tu hata makamu wa rais wa tanzania akiwa na ziara za mikoa hata za kibinafsi na kichama lazima awe na ulinzi. Yule ni makamu wa nchi ya zanzibar popote duniani anapokwenda hupata heshima kama hiyo unayo ilaumu by they we nimdogo huwezi jilinganisha na maalim kama hujui fuatilia historia huyu ndo wapili baada ya nyerere ndo wenye kujua siri ya nchi. Hebu fuatilia sio tu uropoke.
 
yote haya yasinge ongewa kama slaa angepewa nafasi mfano wa maalim nakutembelea gari la serikali wasinge ongea kabisa. Yote ni wivu tu kuona mtu ana lindwa anapewa heshima linawauma sana.

hakuna asiyepingwa hapa jamvini, kila mtu akifanya kinyume na taratibu lazima asemwe, walichokosa jf ni nguvu ya kiutendaji tu lakini kusema kila mtu anasemwa kwa mapungufu yake, mafanikio yake nk.

Kuna makundi haya jf.
(i) wapenzi wa vyama na washabiki wa vyama
(ii) wakosoaji pasipo kuangalia nani kafanya
(iii) vizabizabina ambao huwa hawatabiriki wako upande gani.

Ni wajibu wako kujua uko kundi gani
 
nikweli unayosema. Zitaingizwa picha humu af tuone hao watu kumi unaosema acha mzaha kama roho inakuuma kajinyonge tu.

kama picha zingekuwa na mvuto wa hisia, tungekuwa tumeshazipata. Mpaka leo asubuhi hakukuwa na taarifa za ziara yake hapa jf, ipo kimyakimya na inaoneha inakera watu ndo maana hujapata hata picha ya kuonesha ziara yake. Kwani ni aibu
 
in short angekuwa katibu wako slaa usinge hoji. So nivema ukatulia. Itifaki imezingatiwa yule ni kiongozi. Wht do you espect atembee bila ulinzi. Chukulia tu hata makamu wa rais wa tanzania akiwa na ziara za mikoa hata za kibinafsi na kichama lazima awe na ulinzi. Yule ni makamu wa nchi ya zanzibar popote duniani anapokwenda hupata heshima kama hiyo unayo ilaumu by they we nimdogo huwezi jilinganisha na maalim kama hujui fuatilia historia huyu ndo wapili baada ya nyerere ndo wenye kujua siri ya nchi. Hebu fuatilia sio tu uropoke.

hatuangalii nani wa pili au wa tatu toka kwa nyerere, tunaangalia usahihi wa matumizi ya rasilimali za wananchi. Kwani bara maalim seif ni nani zaidi ya kuwa katibu wa cuf?
 
atakpokuwa raisi wa zanzibar kunaviumbe watajinyonga kabisa..mi nawashauri mjinyonge sasa hivi ili atakpokuwa rais tuwazike kabisa

mangi masta inaonekana wewe mwenyeji wa iringa, ndani ya post chache ulizotuma, umetaja kujinyonga mara nyingi, inaonesha unavyofurahia utamaduni wako
 
Katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania haimtambui Seif Shariff, Iki ni kiburi cha viongozi wetu wa nchi kuvunja katiba kwa makusudi na hali walikula kiapo cha kuilinda katiba yetu.
Huu ndio utawala wa sheria. Wamethubutu wameweza na wanasonga mbele we hata ukipiga vipi kelele hawakujali.
Hivi kama katiba ni mkataba Kati ya viongozi na wananchi inakuaje mkataba unavunjwa na wananchi wanakosa pa kuanzia kudai haki? Jibu ni kwamba katiba tuliyonayo ni ya viongozi na si ya wananchi. Tuitupe.
 
hivi kama katiba ni mkataba kati ya viongozi na wananchi inakuaje mkataba unavunjwa na wananchi wanakosa pa kuanzia kudai haki? Jibu ni kwamba katiba tuliyonayo ni ya viongozi na si ya wananchi. tuitupe.

kamtihani kakubwa, tutaanzaje ili hali siye waoga?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom