LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 672
umeongea sana sasa tutakutafutia mji.NCCR, CHADEMA, TLP vyama hivi vipo kibiashara zaidi CUF ni Chama Dume na kinafanya kazi ya kufundisha siasa Tanzania, hemu vuta kumbukumbu 1995 kuna mkoa fulani ulichukuliwa na NCCR wote ila kwa sasa sijui hatma ya mkoa huo ipoje! Hii ndio biashara ya kisiasa inavyofanywa Tanganyika. Kwetu sisi Zanzibar siasa si biashara bali ni UKOMBOZI.