MANGI MASTA
Senior Member
- Jul 14, 2011
- 175
- 56
Katibu mkuu wa Chama cha wananchi CUF na Makamu wa Kwanza wa serikali ya Zanzibar, Mh. Maalim Seif Hamad leo atakuwa akihutubia katika viwanja vya Bakhresa-Manzese Dar es Salaam kuanzia saa 8 mchana.
Viongozi wote wa kitaifa wa CUF watakuwepo isipokuwa Prof. Lipumba ambaye yuko Marekani kwa shughuli za uchumi wa kimataifa.
Atazungumzia maamuzi yalichukuliwa na CUF pia kuzungumzia Umaskini unaoikabili nchi.
Source: Mtanzania ya leo
Viongozi wote wa kitaifa wa CUF watakuwepo isipokuwa Prof. Lipumba ambaye yuko Marekani kwa shughuli za uchumi wa kimataifa.
Atazungumzia maamuzi yalichukuliwa na CUF pia kuzungumzia Umaskini unaoikabili nchi.
Source: Mtanzania ya leo