STREET SMART
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 807
- 622
Siasa za bongo bwana....
Hivi majuzi cuf walifanya maandamano ya kupinga dowans kulipwa, kawaida siku zote mstari wa mbele wa maandamano yao huongozwa na lipumba na seif. Juzi seif hakuonekana ktk mstari ule; wadau seif angekuwepo ktk mstari ule na ffu wangefanya kazi yao angekuwa vice president wa kwanza duniani kula bakora za vijana wa mwema. Maridhiano mengine tuwe tanaangalia consequences zake. Siasa za bongo zinaniacha hoi sana....
Hivi majuzi cuf walifanya maandamano ya kupinga dowans kulipwa, kawaida siku zote mstari wa mbele wa maandamano yao huongozwa na lipumba na seif. Juzi seif hakuonekana ktk mstari ule; wadau seif angekuwepo ktk mstari ule na ffu wangefanya kazi yao angekuwa vice president wa kwanza duniani kula bakora za vijana wa mwema. Maridhiano mengine tuwe tanaangalia consequences zake. Siasa za bongo zinaniacha hoi sana....