we fal.a hujui kuwa seif amekaa kizuizini muda mrefu sana kwa mabavu ya serikali ya ccm? usiandike tu elimradi unamikono na vidole.Huyu mbwiga kesha lewa wine za Ikulu sasa anaropoka tu,mnafiki mkubwa kipindi kile alikuwa anahamasisha maandamano yakifika kileleni yeye anapanda pipa kwenda ulaya kusikilizia watoto wa wenzake wanavyotwangwa risasi na askari wa CCM. Kumbe alichokuwa anatafuta ni ulaji binafsi sasa amefanikwa anaiponda Chadema.Alaaniwe Maalim Seif kwa usaliti wake, leo chama kinamfia mikononi anatafuta pa kutokea,