maajabu ya udsm

Masterz nayo ni degree ebo! Siku nyingine sema Shahada ya kwanza. Unajuaje kwamba haijanisaidia? Unataka mpaka uone nakufundisha darasani ndio ujue kuwa imenisaidia? Haya Profesa hebu niambie kazi ya UDSM ni kuzalisha mafisadi tu na sio zaidi ya hiyo? Hivyo vyuo vingine havijazalisha mafisadi? Kama una kiwango cha kubishana na mimi nijibu hayo maswali vinginevyo hapa kuna hadithi ya anayeoga mtoni akaibiwa nguo na kichaa akaamua kumfukuza akiwa bila nguo au vipi mdogo wangu?

haya sema tenaaa...UKUBWA NA UWEZO WA KIAKILI NI VITU VIWILI TOFAUTI!!! haya rudia tena...
 
haya sema tenaaa...UKUBWA NA UWEZO WA KIAKILI NI VITU VIWILI TOFAUTI!!! haya rudia tena...
Mapovu tu..Hakuna hoja zaidi ya majibu ya Kishule shule tena za Kata.Nyie wadogo kwa vile hatufahamiani humu mnafikiri tupo facebook hapa. Haya hebu niakuache ukapambane na TCU na HESLB usije ukashindwa kujiunga na Chuo na SUA kuna matuta dogo,
 
yani mimi huwa na mshangaa mtu anaposimama mbele ya umati na kujisifu nimesoma udsm
 
WEWE ULIFELI FORM SIX, HUNA SIFA ZA KUINGIA UDSM. UDSM IS THE BRAIN SOURCE OF EAST AFRICA NA DUNIA, ULIZA WALTER RODNEY ALIKUWA WAPI, KINA marehemu prof. CHACHAGE, vichwa kama vya LEARNED PROFESSOR Luoga utampata wapi kama si UDSM? NENDA NA HICHO KICHETI CHAKO CHA THE ZOOM COLLEGE HATA UGANDA TU WATAKUPA MI TEST kibao KWA KUTOAMINI BRAIN YAKO! nGONJA NIKUPE STORY KIDOGO MAANA NAJUA HUJUI NA UNAITAJI KUJUA, MHE. Warioba aliwahi kuitwa Docta akiwa kwenye UJudge wake huko nje, akawaambia ooh no I DON'T HAVE EVEN A MASTERS DEGREE, ALL I HAVE is A SINGLE DEGREE FROM the UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM. HUSIPO TAMANI KUSOMEA UDSM WEWE NI ..................INSANE! ...............

nilikuwa sitaki kuamini maneno ya mleta thread mpaka niliposoma hii comments esp. red
 
ndio chuo kilicholifikisha taifa hapa lilipo.mafisadi wote ni product ya udsm.wahujumu uchumi ni product ya udsm hata maprofessor wenye tamaa ya uongozi wengi ni wa udsm

Usigeneralize kiivyo ndugu yng,binafsi nilipata admission udsm and udom wakati bado kuna multiple admission nikaamua kwenda udom but udsm kipo juu ukilinganisha na vyuo vingine apa Tanzania,ata wakufunzi wa hivi vyuo vingine wengi ni product ya udsm kwasababu ya ukongwe wake.hayo yote ni tabia ya mtu ambayo yanamtia upofu ktk kuitumia taaluma yake vyema na katu hayahusiani na elimu aliyoipata udsm.
 
Mapovu tu..Hakuna hoja zaidi ya majibu ya Kishule shule tena za Kata.Nyie wadogo kwa vile hatufahamiani humu mnafikiri tupo facebook hapa. Haya hebu niakuache ukapambane na TCU na HESLB usije ukashindwa kujiunga na Chuo na SUA kuna matuta dogo,
hahhahahahahahahah uwezo wako wa kufikiri=0,kauli zero....kwa mtindo huu hatufiki popote!!!! hata kama una masters nawasi wasi nayo....
 
hahhahahahahahahah uwezo wako wa kufikiri=0,kauli zero....kwa mtindo huu hatufiki popote!!!! hata kama una masters nawasi wasi nayo....
Yaani bado tu unaendeleza malumbano? Kweli wewe si riziki kabisa. Kimsingi kama naendelea kubishana na wewe ambaye ni ground zero naweza nikalazimika kunyang'anywa vyati vyangu. Mapovu tupu.
 
Me mbona cjawaelewa,ina maana chuo kikuu udsm kina kozi za ufisadi,rushwa au mfumo wake una surpot hujuma?
 
mkuuuu mwambie aje udsm asome course ya pl.111;critical thinking and argumentation,maana huyu jamaa mwanzisha maada nna wasiwasi naye

wewe mimi nimeisoma hyo coz tena katika moja ya vyuo bora duniani na nikapata B+
 
UDSM RANKINGS (2010-2012)

In 2011, the University Ranking by
Academic Performance Center
ranked the University of Dar es
Salaam as the 1,593rd best
university in the world (2,000 were ranked).

[2] In 2011, AcademyRank.com ranked
the university as the 2,967th best
university worldwide (out of 9,805
ranked universities) but the best of
the 16 ranked in Tanzania, with the Sokoine University of Agriculture in second place.

In 2011, the Scimago Institutions
Rankings placed the university in
2,831st place worldwide, 55th in
Africa, and second in Tanzania
behind the Muhimbili University of Health and Allied Sciences. This ranking, "based on quantitative data
of citation and publication[,] shows
bibliometric indicators that unveil
some of the main dimensions of
research performance of worldwide
research-devoted institutions".

Based solely on the university's
"excellence rate", the university was
ranked 16th out of 62 universities in
Africa. This rate "indicates which
percentage of an institution's
scientific output is included into the set formed by the 10% of the most
cited papers in their respective
scientific fields. It is a measure of
high quality output of research institutions".

[3] In January 2012, Webometrics
ranked the university as the 1,907th
best university worldwide based on
its web presence (an assessment of
the scholarly contents, visibility, and
impact of the university on the web) but the best in Tanzania, with the Hubert Kairuki Memorial University far behind in second place.[4]
 
UDSM RANKINGS (2010-2012)

In 2011, the University Ranking by
Academic Performance Center
ranked the University of Dar es
Salaam as the 1,593rd best
university in the world (2,000 were ranked).

[2] In 2011, AcademyRank.com ranked
the university as the 2,967th best
university worldwide (out of 9,805
ranked universities) but the best of
the 16 ranked in Tanzania, with the Sokoine University of Agriculture in second place.

In 2011, the Scimago Institutions
Rankings placed the university in
2,831st place worldwide, 55th in
Africa, and second in Tanzania
behind the Muhimbili University of Health and Allied Sciences. This ranking, "based on quantitative data
of citation and publication[,] shows
bibliometric indicators that unveil
some of the main dimensions of
research performance of worldwide
research-devoted institutions".

Based solely on the university's
"excellence rate", the university was
ranked 16th out of 62 universities in
Africa. This rate "indicates which
percentage of an institution's
scientific output is included into the set formed by the 10% of the most
cited papers in their respective
scientific fields. It is a measure of
high quality output of research institutions".

[3] In January 2012, Webometrics
ranked the university as the 1,907th
best university worldwide based on
its web presence (an assessment of
the scholarly contents, visibility, and
impact of the university on the web) but the best in Tanzania, with the Hubert Kairuki Memorial University far behind in second place.[4]

Bachwa boy tajiri, umetisha!!
 


nilikuwa sitaki kuamini maneno ya mleta thread mpaka niliposoma hii comments esp. red

kwa hiyo umeamini maneno ya mleta thread ni ya kweli ama? maana maneno yako yanaashiria ulikuwa hajaamini mpaka nilipo post mchango wangu, je mchango wangu ndo ulokufanya uamini maneno ya mtoa thread?
 
kwa hiyo umeamini maneno ya mleta thread ni ya kweli ama? maana maneno yako yanaashiria ulikuwa hajaamini mpaka nilipo post mchango wangu, je mchango wangu ndo ulokufanya uamini maneno ya mtoa thread?

Nimeamini maneno ya mleta thread baada ya kuona post yako! kweli UDSM hamna kitu kama graduates wenyewe ndio kama wewe ..?? ATI NI BRAIN SOURCE YA DUNIA NZIMA! LOL
 
Back
Top Bottom