mgombea wa ubunge kwa tiketi ya ccm stephen masele shinyanga aemtangazwa kuwa mshindikwa kupata kura 18570 fdhidi ya mgombea wa chadema philip shelembi aliyepata kura 18569
Tofautiyake ni kura moja tu........wazee mpo hapo?
Source: ITV
Hiyo ndio maana ya uchaguzi.................na wananchi waelezwe kuwa kura yake moja ndiyo itakayoleta mabadiliko kama ilivyokuwa hapo........kwa tulio zoea kusimamia mazoezi kama haya ya uchaguzi.....si jambo la kushangaza........ila inauma sana