Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 2,897
- 3,243
ati vijana wanaamini inaleta manguvu ya kiume asa sijui kweli, sijawahi test na sitegemei kujaribu.
kama hiyo supu ya pweza hunywi mwenzangu unakula nini baada yake au boko boko na Almond?Good thing is, there r always alternatives!
Ndo maana usukumani hakuna iyo pweza ila wanapiga game fresh tu!!!
Mpenzi wangu njoo usome hapa.
Wadau poleni!Nisiwe muongeaji sana nataka kuuliza hivi hii supu ya pweza mbona imekuja kuwa maarufu sana hapa mjini mpaka vijana wanaigombania?Kwan kuna kitu gan hasa kwenye supu hii?Je inavirubisho gan kwa afya ya binadamu?Naomba mnijuze maajabu ya supu ya Pweza kwa aliyetumia ili nami niifurahie...
Nawasilixha.
Wadau poleni!Nisiwe muongeaji sana nataka kuuliza hivi hii supu ya pweza mbona imekuja kuwa maarufu sana hapa mjini mpaka vijana wanaigombania?Kwan kuna kitu gan hasa kwenye supu hii?Je inavirubisho gan kwa afya ya binadamu?Naomba mnijuze maajabu ya supu ya Pweza kwa aliyetumia ili nami niifurahie...
Nawasilixha.
tatizo la nguvu za kiume limekuwa kubwa sana sasa
kama hiyo supu ya pweza hunywi mwenzangu unakula nini baada yake au boko boko na Almond?
kuna mtu alinambia akila hivyo ngoma inakua juu kama msumari wa koti.....
Mpenzi wangu njoo usome hapa.
hee,are you serious?dah!Hv kuna sehemu ya ku like humu JF?