Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Ni saa mbili na dakika kadhaa, natoka Campus ya Mlimani kuelekea hostel ya Mabibo. Cha kushangaza ni kuwa Barabara ya Sam Nujoma kuelekea Ubungo hakuna foleni kabisa, haijafika hata darajani. Hii si kawaida kwani siku nyingine foleni huwa inafika makutano ya barabara ya Sinza hasa muda kama huu siku kama ya leo. Ni nini hakijaenda vizuri mpaka hakuna foleni?