Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,601
- 4,086
Usithubutu mkuu hapa mwenzio naishi kwa mashaka.
Kuna mwanamke nilikuwa naye zamani kabla sijaoa ila tukapoteana for a certain time yeye alienda Zanzibar kutafuta maisha mimi nikabaki hapa hapa naendelea kustruggle . Milima haikutani ila binadamu tunakutana mwaka jana mwezi wa pili tulikutana so tukakumbushia mchezo ila akatoa ombi kama hilo akasema tayari nina kazi yangu so nahitaji mtoto na wewe ndio nilikuwa nategemea unipatie huyo mtoto.Nikamwambia tayari nina ndoa sitoweza kuwahudumia familia mbili though uwezo huo ninao akadai yeye anachohitaji ni mimba tu ila mtoto na yeye mwenyewe watajilea coz hana shida ya pesa.Nikaingia mkenge kama Nyumbu nikamkubalia sasa hivi bado hajajifungua ila mimba ina miezi 7 napata tabu sana mara anataka niende nikalale kwake ananiomba niweke zamu kama vile nimeoa wake wawili. So mpaka niogopa kuhusu mke wangu akijua hili nitaweka wapi sura yangu.
Nakuomba mkuu usikubali kufanya huo uamuzi utaishi katika wakati mgumu sana.
TUSAIDIE JAPO PICHA MKUU.