Maajabu ya Joto City!

Bitoz

JF-Expert Member
Aug 27, 2015
30,823
126,538
Niaje wana ?
Jiji la Dar es salaam ndio jiji la ukweli na lenye mbwembwe kwa hapa Tanzania .....Pamoja na sifa zote lakini lina vijimambo vyake bwana !!!

1/ Uchafu ndio mwake!!
Dsm ndio jiji chafu zaidi nchini Tanzania..kuanzia sehemu za Uswahilibi hadi katikati ya jiji ni mwendo wa uchafu tu..Mtuache na uchafu wetu bhana!!!!

2/Vijana wa mission town.
Vijana wengi hawana kazi za kueleweka..wanaamka saa 2 asubuhi wanapiga mswaki kisha wanapanga dili zao za kimagumashi..usishangae mtu hana kazi mjini lakini anamiliki mkoko!!!

3/Chai hunyweka kuanzia saa 4 asubuhi
Pamoja na joto Kali la bongo idadi kubwa ya watu has a uswaz hunywa chai mida ya saa 4,5&6 ....Usishangae tunaita kutafuta faulo!!!

4/Foleni kila sehemu
Kila mahali watu kibao..barabarani watu/magari kibao,msikitini/kanisani watu kibwena,benki nako watu kibao..Kila sehemu watu kibao kasoro vituo vya kupima HIV/AIDS tu!!

5/wali ndondo kama fasheni vile!!
Hawa ndio wana DSM bwana..usiku idadi kubwa ya watu wali maharage utafikiri wamesaini nayo mkataba!!! Na butchery ni vinara wa kununua 1/4 kilo....

6/ Madadapoa wa kumwaga !!
Dsm kumejaa madadapoa kila sehemu kuanzia uswahilini kama vile Buguruni, Mwananyamala, Temwke, Manzese uwanja wa fisi na sehemu za kiahua kwa mfanoCorner bar sinza na Ohio street Posta..Ni chaguo lako tu mwana!!;

7/ Hela inapatikana kiurahisi...
Waliosema mjini akili, nguvu kijijini hawakukosea!!! Mjini kupata pesa sio ishu, ishu ni jinsi ya kuitumia...kila kitu kinauzwa hadi mbilimbi !!! Hata yaje mafuriko haturudi kijijini.....


8/Kila mtaa kibanda cha chipsi
Joto City chipsi mayai zinashobokewa na kila MTU......usiniulize kwa nini Makonda anawasaka mashoga !!


9/Usiku mbu, mchana nzi, sisimizi wapambe!!
Kutokana na hali ya hewa ya joto kali pamoja na tabia ya uchafu jiji la Dsm usiku ni full mbu, mchana nzi ndio bosi & sisimizi ndio wapambe !!!
5906f0e9d608b27ddb90049a80d28af9.jpg
5ed2f7dce2c72601def3fd1da102652c.jpg
388936c1fcdfc3a89732b940a048ff0d.jpg
68a3af7e785bfffe5acd97be7efe8217.jpg
417c739c84f2af51a5e2baccd6dd31ef.jpg
6c9bdec68c41b7a4643bb0027414246e.jpg
94857d044fc5467029cf267a4cd826c2.jpg
e966094cc3328863ba42479d7c063d8b.jpg
7cf9cbff1b9daa4e5ec1502272117905.jpg
b13ef24761f711d2e1752443104f6d6d.jpg
330f84c4706c2feb3e34ed65acb6203c.jpg
9a52327a99c216e217e552de35bdfec2.jpg
f393db1013e643efafdb165b17abd56c.jpg


The Bitoz
 
Wafugaji wapo dar,hadi kariakoo watu wanafuga mbuzi kibao utazani Ranchi,maeneo ya mchikichini,sa sijui wale mbuzi wanakula nini
 
Hahahaaaaaa wanawake kwa waschana wanavaa dera kama vazi la shughuli na linavaliwa kama sare pia wamama hawajifungi khanga na vitenge tena.
 
Naomba utuwekee picha za mavi na used condoms za mitaani na vitongoji vingine tuhakiki kama ni kweli.
 
Back
Top Bottom