Heshima mbele wakuu.... Naona mambo yamekuwa moto kweli kweli. Nadhani hapa kuna vitu tunavi overlook sababu nakumbuka mradi ulivyoanza (jamaa wa pale Ardhi Institute, panaitwaje tena sasa) walikuwa wanauangalia kama Dar es Salaam Coastline Development/Upgrading Project, daraja lilikuwa part of the mradi mzima. Sasa nadhani kuna maendeleo yametokea nakadhalika lakini haina maana kwamba tuache kuchanganua manufaa, gharama, aina ya kivuko (daraja,tunel)......
Hivyo nadhani haya ndio nionavyo mimi:
1. Aina ya kivuko (daraja au tunel):
Kwa muangalio wangu wa haraka haraka nadhani wale jamaa wa Ardhi walipendekeza daraja ili liwewe ku "FUSE-IN" na madhanri nzima ya bandari yetu ya Salama (manake ukiweka tunel hakuna kitu kitaonkana zaidi ya vijishimo pande zote mbili). Sisemi tunel halitakuwa na mvuto la hasha lakini nasema kwamba kuna uwezekano wale waliopendekeza na kutoa preliminary design waliangalia/walipendekeza daraja against tunel kutokana na sababu maradufu (inawezekana hata cost pia waliangalia). Swali ni kwamba je, inawezekana kubadilisha between the two? Jibu ni kwamba inategemea ni nini haswa ndio muhimum (Dar Coastal line development/cost)!! Hili nadhani linatakiwa kuangaliwa kwa upya sababu naona kuna more interest in this than initially thought!
2. Location ya kivuko:
Hapa ipo kazi kweli kweli. Hebu jiulize (kama tukijenga daraja) ni meli za ukubwa gani zinapita pale mahali (Linea Messina etc). Sasa kama tunataka kujenga daraja ambalo sisi wazalendo tunaweza kulitunza nadhani ni bora tuwa na kama lile la Mkapa kule Rufiji (fixed type). Sasa angalia ukubwa wa meli (headroom/height ya daraja) kwa kuzingatia urefu wa meli (high/low tide - at least 100 years history), majengo ya hapa Jijini (pale city centre, Kurasini wherever), Congestion ya Jiji pale city centre, disturbance ya wakati wa ujenzi nk.... Kisha jiulize je inahitajika ardhi kiasi gani kuweza kupata enough gradient both kwenye kupanda/kushuka (Dar na Kigamboni sides), wow... Si utani inahitajika atleast 1km on both sides, kwa daraja tu na access roads, sasa hebu liweke daraja hili pale City centre kisha jiulize vingapi vitabidi vipishe njia (BoT, State House etc)....... Do the math!
3. Kuhusu matumizi ya daraja (miguu, magari, baisskeli, etc):
Nadhani hapa kuna kuchanganya idhaa, muhimu sio nani analihitaji zaidi bali je, Daraja litajengwa na litajengwa wapi? Kwa umbali ulivyo lazima kutakuwa na njia za magari na pia wale waenda kwa miguu kama sisi. Sasa hata kama litajengwa Kurasini au City Centre still lazima kuwepo na miundombinu ya waenda kwa miguu pia. Jaribu kukaa Jangwani kuangalia kila asubuhi watu wangapi wanatembea kwa miguu kutoka Magomeni etc mpaka City Centre, itakuwa Kurasini mpaka town?
4. Swala la Pesa na Umuhimu:
Kwa mtazamo wangu ni kwamba ukizingatia Jiji linavyopanuka kwa kasi, daraja hili lilitakiwa kujengwa 5 years ago!! Kwa nini, hebu angalia idadi ya vianja tumeshapimiwa na Serikali kule Kigamboni, mahoteli, ma "bichi"......kisha geuka na angalia idadi ya meli zinapita pale feri kila siku. Wengi watasema suluhu ni kuongeza pontoon, ha ha haaaa.... "You must be joking" umeshawahi kuona madau palae feri yanavyopigwa vikumbo na "ma meli".... Sasa jiulize pale creek yenyewe ni ndogo wewe ukaongeza pantoni si utakuwa unatengeneza "death creek" leave alone delays kutokana na kupishana kati ya mitumbwi, meli, pantoni na offcourse vyote vyategemea kina cha maji (tide).....
Kuhusu pesa zitatoka wapi nadhani sio kitu cha kujiuliza saana, wote tunajua apart from Education/Afya/na mambo mengine meeengi, pia kuna swala zima la INFRASURUCTURE DEVELOPMENT!!! Hili la daraja lipo katika hilo la 3, Miundo Mbinu!!!
Sasa kama nilivyosema vyote ni vizuri lakini kikubwa ni kwamba "Je Serikali/vyombo vinavyohusika wameshafanya mchakato mzima wa nini kifanyike pale mahali kwa kuangalia current situation na mipango mizima ya kuendeleza Jiji la Dar Salaama?"... Tunaweza jenga daraja na ku create more problems than what we currently have!!
Naomba kuwakilisha!!!!!!!
Hivyo nadhani haya ndio nionavyo mimi:
1. Aina ya kivuko (daraja au tunel):
Kwa muangalio wangu wa haraka haraka nadhani wale jamaa wa Ardhi walipendekeza daraja ili liwewe ku "FUSE-IN" na madhanri nzima ya bandari yetu ya Salama (manake ukiweka tunel hakuna kitu kitaonkana zaidi ya vijishimo pande zote mbili). Sisemi tunel halitakuwa na mvuto la hasha lakini nasema kwamba kuna uwezekano wale waliopendekeza na kutoa preliminary design waliangalia/walipendekeza daraja against tunel kutokana na sababu maradufu (inawezekana hata cost pia waliangalia). Swali ni kwamba je, inawezekana kubadilisha between the two? Jibu ni kwamba inategemea ni nini haswa ndio muhimum (Dar Coastal line development/cost)!! Hili nadhani linatakiwa kuangaliwa kwa upya sababu naona kuna more interest in this than initially thought!
2. Location ya kivuko:
Hapa ipo kazi kweli kweli. Hebu jiulize (kama tukijenga daraja) ni meli za ukubwa gani zinapita pale mahali (Linea Messina etc). Sasa kama tunataka kujenga daraja ambalo sisi wazalendo tunaweza kulitunza nadhani ni bora tuwa na kama lile la Mkapa kule Rufiji (fixed type). Sasa angalia ukubwa wa meli (headroom/height ya daraja) kwa kuzingatia urefu wa meli (high/low tide - at least 100 years history), majengo ya hapa Jijini (pale city centre, Kurasini wherever), Congestion ya Jiji pale city centre, disturbance ya wakati wa ujenzi nk.... Kisha jiulize je inahitajika ardhi kiasi gani kuweza kupata enough gradient both kwenye kupanda/kushuka (Dar na Kigamboni sides), wow... Si utani inahitajika atleast 1km on both sides, kwa daraja tu na access roads, sasa hebu liweke daraja hili pale City centre kisha jiulize vingapi vitabidi vipishe njia (BoT, State House etc)....... Do the math!
3. Kuhusu matumizi ya daraja (miguu, magari, baisskeli, etc):
Nadhani hapa kuna kuchanganya idhaa, muhimu sio nani analihitaji zaidi bali je, Daraja litajengwa na litajengwa wapi? Kwa umbali ulivyo lazima kutakuwa na njia za magari na pia wale waenda kwa miguu kama sisi. Sasa hata kama litajengwa Kurasini au City Centre still lazima kuwepo na miundombinu ya waenda kwa miguu pia. Jaribu kukaa Jangwani kuangalia kila asubuhi watu wangapi wanatembea kwa miguu kutoka Magomeni etc mpaka City Centre, itakuwa Kurasini mpaka town?
4. Swala la Pesa na Umuhimu:
Kwa mtazamo wangu ni kwamba ukizingatia Jiji linavyopanuka kwa kasi, daraja hili lilitakiwa kujengwa 5 years ago!! Kwa nini, hebu angalia idadi ya vianja tumeshapimiwa na Serikali kule Kigamboni, mahoteli, ma "bichi"......kisha geuka na angalia idadi ya meli zinapita pale feri kila siku. Wengi watasema suluhu ni kuongeza pontoon, ha ha haaaa.... "You must be joking" umeshawahi kuona madau palae feri yanavyopigwa vikumbo na "ma meli".... Sasa jiulize pale creek yenyewe ni ndogo wewe ukaongeza pantoni si utakuwa unatengeneza "death creek" leave alone delays kutokana na kupishana kati ya mitumbwi, meli, pantoni na offcourse vyote vyategemea kina cha maji (tide).....
Kuhusu pesa zitatoka wapi nadhani sio kitu cha kujiuliza saana, wote tunajua apart from Education/Afya/na mambo mengine meeengi, pia kuna swala zima la INFRASURUCTURE DEVELOPMENT!!! Hili la daraja lipo katika hilo la 3, Miundo Mbinu!!!
Sasa kama nilivyosema vyote ni vizuri lakini kikubwa ni kwamba "Je Serikali/vyombo vinavyohusika wameshafanya mchakato mzima wa nini kifanyike pale mahali kwa kuangalia current situation na mipango mizima ya kuendeleza Jiji la Dar Salaama?"... Tunaweza jenga daraja na ku create more problems than what we currently have!!
Naomba kuwakilisha!!!!!!!