Mwenzenu nna tatizo kuhusu maajabu saba ya dunia naombeni msaada....Hivi leo hii maajabu yanahtaji kupigiwa kura? Ni propaganda tu au?Kuna wanaotaka hata ox bow lakes zao ziitwe maajabu kwakua wamepiga kura nyingi....kama kitu ni cha maajabu si kinaoneka kwanini yasiwe hata maajabu 100 ya dunia hata bila kura............?????? au kura ndo zinathibitisha uajabu