zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Maajabu
na Prof Muhongo > shirika la Tanesco lilipa paundi 50000 kwa ajiri ya vipuri lakini wakapata Begi la Misumari...
Pia kuna biashara inyo fanyika kwamba
Nguzo Umeme za Iringa zinakwenda mombasa na kurudi wao wanasema zinatoka south africa....
na Prof Muhongo > shirika la Tanesco lilipa paundi 50000 kwa ajiri ya vipuri lakini wakapata Begi la Misumari...
Pia kuna biashara inyo fanyika kwamba
Nguzo Umeme za Iringa zinakwenda mombasa na kurudi wao wanasema zinatoka south africa....