Maajabu Mtetemeko wa Ardhi uliotokea UTuruki nyumba zimeanguka zote Msikiti umebaki

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,318
33,125
r2074661270.jpg


<!-- end photoProvider --> <cite id="photoTimestamp">Mon Mar 8, 6:07 AM ET</cite>

<!-- end photo cont --> Prev 12 of 20 Next
People walk around a destroyed house in Okcular Village, in Elazig province March 8, 2010. A strong earthquake killed 41 villagers in eastern Turkey early on Monday, local officials said, as rescuers worked to free survivors trapped under the rubble.The quake woke residents from their sleep when it struck at 4:32 am local time (0232 GMT), centred on the sparsely populated area of Basyurt in Elazig province. The quake had a magnitude of 6.0 and was followed by 30 minor aftershocks.
<cite id="captionCite"> REUTERS/Stringer (TURKEY - Tags: DISASTER)

http://news.yahoo.com/nphotos/Stron...os_ts_wl_afp/9802686d8ab2ea1e1ab74ccf275035f1
</cite>
 
Hehe, MaxShimba akiona hii lazima ata-conclude tu ndiyo yale yaleeeeeeeeeee!
 
Sasa hizo nyingine ni nyumba au mfano wanyumba si unaona mabaki ya miti? Hapo nyumba illikuwa hiyo moja tu, yaani kwa kifupi halikuwa na nguvu za kutosha hapo ila sio kwa sababu ni msikiti jamani angalia vizuri na kuanalyse kabala ya kuleta vitu hapa
 
Sasa hizo nyingine ni nyumba au mfano wanyumba si unaona mabaki ya miti? Hapo nyumba illikuwa hiyo moja tu, yaani kwa kifupi halikuwa na nguvu za kutosha hapo ila sio kwa sababu ni msikiti jamani angalia vizuri na kuanalyse kabala ya kuleta vitu hapa

huo ndio ukweli

,maana inaonekana kijiji chote nyumba ya maana ilikuwa ni moja tu (msikiti), na kama kawaida itakuwa ni ujenzi wa mfadhiri
 
huo ndio ukweli

,maana inaonekana kijiji chote nyumba ya maana ilikuwa ni moja tu (msikiti), na kama kawaida itakuwa ni ujenzi wa mfadhiri

Si ndo hapo jamaa he should think more than they want him to think
 

<!-- end photoProvider --> <cite id="photoTimestamp">Mon Mar 8, 6:07 AM ET</cite>

<!-- end photo cont --> Prev 12 of 20 Next
People walk around a destroyed house in Okcular Village, in Elazig province March 8, 2010. A strong earthquake killed 41 villagers in eastern Turkey early on Monday, local officials said, as rescuers worked to free survivors trapped under the rubble.The quake woke residents from their sleep when it struck at 4:32 am local time (0232 GMT), centred on the sparsely populated area of Basyurt in Elazig province. The quake had a magnitude of 6.0 and was followed by 30 minor aftershocks.
<cite id="captionCite"> REUTERS/Stringer (TURKEY - Tags: DISASTER)

</cite>
Hawa mariporter wa REUTERS nao walijifanya hawalioni hilo jengo lililosalia, na kufanya 'special consideration'?
 
Sasa hizo nyingine ni nyumba au mfano wanyumba si unaona mabaki ya miti? Hapo nyumba illikuwa hiyo moja tu, yaani kwa kifupi halikuwa na nguvu za kutosha hapo ila sio kwa sababu ni msikiti jamani angalia vizuri na kuanalyse kabala ya kuleta vitu hapa

huo ndio ukweli

,maana inaonekana kijiji chote nyumba ya maana ilikuwa ni moja tu (msikiti), na kama kawaida itakuwa ni ujenzi wa mfadhiri

Si ndo hapo jamaa he should think more than they want him to think

Hawa mariporter wa REUTERS nao walijifanya hawalioni hilo jengo lililosalia, na kufanya 'special consideration'?

Nyinyi wote Mupinge au Mukubali huo ndio Ushahidi wa picha inavyojionyesha yenyewe kama ilivyo Nyumba zimeanguka na Msikiti ndio Umebaki hiyo ni Adhabu kwa Mungu kuna makosa ndio maana Mungu akaleta hiyo Mtetemeko wa ardhi kazi kwenu kukubalini au Mukatae MIAFRIKA BWANA NDIVYO ILIVYO
 
Nyinyi wote Mupinge au Mukubali huo ndio Ushahidi wa picha inavyojionyesha yenyewe kama ilivyo Nyumba zimeanguka na Msikiti ndio Umebaki hiyo ni Adhabu kwa Mungu kuna makosa ndio maana Mungu akaleta hiyo Mtetemeko wa ardhi kazi kwenu kukubalini au Mukatae MIAFRIKA BWANA NDIVYO ILIVYO

Ustaadh Mzizimkavu, usibishane nao hao, wamepigwa muhuri wa kupotea na allah, kama vile alivoleta hilo tetemeko kuua watu na kuunusuru msikiti.?!
 
Nyinyi wote Mupinge au Mukubali huo ndio Ushahidi wa picha inavyojionyesha yenyewe kama ilivyo Nyumba zimeanguka na Msikiti ndio Umebaki hiyo ni Adhabu kwa Mungu kuna makosa ndio maana Mungu akaleta hiyo Mtetemeko wa ardhi kazi kwenu kukubalini au Mukatae MIAFRIKA BWANA NDIVYO ILIVYO
Duuuh! ungejua chanzo cha matetemeko ya ardhi wala usingemsingizia Mungu. Naomba usome kidogo kuhusu theories hizi 1. plate tectonics of Harry Hess 2. isostancy by C.E dutton. Unaweza kupata picha kidogo kuhusu matetemeko ya ardhi.
ukweli ni kuwa Msikiti umebaki kwa kuwa ulikuwa imara na umehimili mtikisiko wa tetemeko. Take it from me
 
Hehe, MaxShimba akiona hii lazima ata-conclude tu ndiyo yale yaleeeeeeeeeee!

Mark 13: 8: For nation shall rise against nation, and kingdom against kingdom: and there shall be earthquakes in divers places, and there shall be famines and troubles: these are the beginnings of sorrows.

Jesus knew before time!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Duuuh! ungejua chanzo cha matetemeko ya ardhi wala usingemsingizia Mungu. Naomba usome kidogo kuhusu theories hizi 1. plate tectonics of Harry Hess 2. isostancy by C.E dutton. Unaweza kupata picha kidogo kuhusu matetemeko ya ardhi.
ukweli ni kuwa Msikiti umebaki kwa kuwa ulikuwa imara na umehimili mtikisiko wa tetemeko. Take it from me
Ukikataa Ukikubali ukweli bado upo pale pele kama picha inavyojieleza yenyewe hiyo kazi kwako MIAFRIKA BWANA NDIVYO ILIVYO HEHEHEHEHEHH
 
Ustaadh Mzizimkavu, usibishane nao hao, wamepigwa muhuri wa kupotea na allah, kama vile alivoleta hilo tetemeko kuua watu na kuunusuru msikiti.?!

and..

The Following User Says Thank You to Abdulhalim For This Useful Post: MziziMkavu (Today)



this was suppose to be sarcasm..lol..

Kaaz kwelikweli, lakini tutafika tu...
 
Tukisema hilo tetemeko Mungu alilileta kuwadhabu waturuki kwa dhambi, ni jamii ipi ingekwepa gadhabu ya Mungu KWA KUJIHESABIA HAKI?
Tetemeko lina scientific explanations kama alivyosema Magafu hapo juu.Acheni superstitions na kumsingizia Mungu kila kitu.
 
heeeeeeey acheni kutoa analysis zisizokuwa na upeo, hata kwa macho utaona zilizoharibika ni mabanda tena seems hafifu sana ya miti, huo msikiti umejengwa tena may be walidhamiria kudhibiti earth quakes, sasa utasemaje hayo ni maajabu? Pembeni hakuna hata mfano wa tofali sasa hizo nazo utaita nyumba?
 
Duuuh! ungejua chanzo cha matetemeko ya ardhi wala usingemsingizia Mungu. Naomba usome kidogo kuhusu theories hizi 1. plate tectonics of Harry Hess 2. isostancy by C.E dutton. Unaweza kupata picha kidogo kuhusu matetemeko ya ardhi.
ukweli ni kuwa Msikiti umebaki kwa kuwa ulikuwa imara na umehimili mtikisiko wa tetemeko. Take it from me

Tukisema hilo tetemeko Mungu alilileta kuwadhabu waturuki kwa dhambi, ni jamii ipi ingekwepa gadhabu ya Mungu KWA KUJIHESABIA HAKI?
Tetemeko lina scientific explanations kama alivyosema Magafu hapo juu.Acheni superstitions na kumsingizia Mungu kila kitu.

heeeeeeey acheni kutoa analysis zisizokuwa na upeo, hata kwa macho utaona zilizoharibika ni mabanda tena seems hafifu sana ya miti, huo msikiti umejengwa tena may be walidhamiria kudhibiti earth quakes, sasa utasemaje hayo ni maajabu? Pembeni hakuna hata mfano wa tofali sasa hizo nazo utaita nyumba?

Na Kifo nacho kina scientific explanations? Kazi kweli ndugu zetu mnaoamini scientific explanations MIAFRIKA BWANA NDIVYO ILIVYO
 
Duuuh! ungejua chanzo cha matetemeko ya ardhi wala usingemsingizia Mungu. Naomba usome kidogo kuhusu theories hizi 1. plate tectonics of Harry Hess 2. isostancy by C.E dutton. Unaweza kupata picha kidogo kuhusu matetemeko ya ardhi.
ukweli ni kuwa Msikiti umebaki kwa kuwa ulikuwa imara na umehimili mtikisiko wa tetemeko. Take it from me


SURA 30. SURAT AR-RUM 41. Ufisadi umedhihiri bara na baharini kwa iliyo yafanya mikono ya watu, ili
Mwenyezi Mungu awaonyeshe baadhi ya waliyo yatenda. Huenda wakarejea kwa kutubu.


SURA 99. SURAT AZ-ZILZALAH 1. Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!
2. Na itakapo toa ardhi mizigo yake!
3. Na mtu akasema: Ina nini?
4. Siku hiyo itahadithia khabari zake.
5. Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!
6. Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
7. Basi anaye tenda chembe ya wema, atauona!
8. Na anaye tenda chembe ya uovu atauona!
 
SURA 30. SURAT AR-RUM 41. Ufisadi umedhihiri bara na baharini kwa iliyo yafanya mikono ya watu, ili
Mwenyezi Mungu awaonyeshe baadhi ya waliyo yatenda. Huenda wakarejea kwa kutubu.


SURA 99. SURAT AZ-ZILZALAH 1. Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!
2. Na itakapo toa ardhi mizigo yake!
3. Na mtu akasema: Ina nini?
4. Siku hiyo itahadithia khabari zake.
5. Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!
6. Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
7. Basi anaye tenda chembe ya wema, atauona!
8. Na anaye tenda chembe ya uovu atauona!


Mkuu hizo aya zinaelezea siku ya kihama, si ndio?
 
Back
Top Bottom