MAAJABU... mchina kaleta taarabu

Hahahahahaha loh nilinuna lakini imenibidi nicheke sana na foleni inasogea sasa hahaha
ukicheka asubuhi umeianza siku yako vizuri. mshukuru aliyekuchekesha.. cheka tena!!:D:D:rolleyes:
 
avata yako inanichanganya.. sasa wewe ni yupi hapo wa mbeleee.. au wa nyumaaa?
29297.jpg
 
Mh to me he is just playing along! he follows the saying if u cant beat them join them! mh he sings well so that akiwa huko vijijini wamwamini huku akibeba madini na meno ya Tembo kupeleka kwao! anajua to Lure Africans hasa Wabongo Be like Them exactly! am not falling for that! other side of coin ukiwa kwao and try to sing their folk songs the looks u will get utajuta!! tena kuna miji wanamfata mtu mweusi na kumgusa ngozi yake wakijua kapakaza rangi!!
 
Back
Top Bottom