Maajabu: Bibi anayeota pembe kama mbuzi

M-bongotz

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
1,734
405
Bibi huyu anaitwa Zhang Ruifang raia wa China mwenye umri wa miaka 101 ameota pembe moja kwenye paji lake la uso na nyingine inaanza kuchomoza upande mwingine.,angekuwa anaishi Bongo huyu hususani mikoa ya kanda ya ziwa si ajabu angekuwa amekwishauawa kwa kuhofiwa kuwa ni mchawi.

attachment.php
 

Attachments

  • Bibi mwenye pembe.jpg
    Bibi mwenye pembe.jpg
    46.6 KB · Views: 273
I will believe if it can be proven biologically?!

Hiki sio kitu cha kawaida, inawezekana imewekwa kisanii!

Fuvu la kichwa kutoa pembe za mbuzi?!

Bado haijaniingia akilini!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom