M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Bibi huyu anaitwa Zhang Ruifang raia wa China mwenye umri wa miaka 101 ameota pembe moja kwenye paji lake la uso na nyingine inaanza kuchomoza upande mwingine.,angekuwa anaishi Bongo huyu hususani mikoa ya kanda ya ziwa si ajabu angekuwa amekwishauawa kwa kuhofiwa kuwa ni mchawi.