roby2006
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 421
- 113
wanasemaga ajali haina kinga lakini mi pale mbele kukaa ni marufuku unakuta dereva anaendesha mkono mmoja uko nje umeshika sigara kama ukiwa dereva ndo kabisa unatamani umshushe uendeshe wewems mjini kwenda rombo kama we unajua kuendesha unafika huku mguu unauma kwa kushika break jinsi noa zinavyokimbizwa.