mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 520
Hv kinachosubiriwa ni ajali ili iundwe tume na litolewe tamko la kupiga marufuku usafiri huu wa abiria ni wapi kilitolewa kibali gari hizi zibebe abiria!!leo nimeahirisha safari baada ya kukosa bus nikapelekwa kwenye noah yaani kilichonitisha abiria wamepangwa kama nyanya dereva kabwamdogo kako bwaksi nikajiuliza nawahi wapi bora nibaki tu maafa makubwa yaja ktk usafiRi huu wa NOAH!!