!!!Ama kweli mafisadi watakoma mwaka huu. Hadi vimbunga vinawafuata huko huko Gymkhana Club kuwamaliza?
R.I.P prof! inauma sana, kanifundisha udsm
Si ajabu utakuwa umevuta bangi wewe,watu wako wanatoa salamu za pole kwa marehemu Prof Kamuzora wewe unaleta habari zako za bangi hapa.Ama kweli mafisadi watakoma mwaka huu. Hadi vimbunga vinawafuata huko huko Gymkhana Club kuwamaliza?
Ama kweli mafisadi watakoma mwaka huu. Hadi vimbunga vinawafuata huko huko Gymkhana Club kuwamaliza?
Ama kweli mafisadi watakoma mwaka huu. Hadi vimbunga vinawafuata huko huko Gymkhana Club kuwamaliza?
huyu bwana haelewi maana ya Professor na bila shaka hajawahi kuvuka elimu ya msingi. Ni internet cafe attendant! Low IQ! Yaani haoni msgs of condolences au aanafikiri professor Kamuzora ni binamu yake RA!&@!?&@!!!!?Ama kweli mafisadi watakoma mwaka huu. Hadi vimbunga vinawafuata huko huko Gymkhana Club kuwamaliza?
nadhani ni wa udsm,bt huwa anafundisha na mambo ya demography,may b na huko mzumbe huja
Nimeshutushwa sana na POSTI ya huyu jamaa!!!.Hata hivyo nikakumbuka usemi wa mzee mmoja kuwa katika kila jamii kuna punguani wake, kichaa wake, hamnazo wake, na watu wa aina hiyo . Si kweli kuwa kila mtu ni FISADI hata wewe kutumia jukwaa hili kutukana, ni ufisadi na wengine hawafanyi hivi. Uwe na akili kidogo wewe nyau @)**&^*( zako.Ama kweli mafisadi watakoma mwaka huu. Hadi vimbunga vinawafuata huko huko Gymkhana Club kuwamaliza?
Ama kweli mafisadi watakoma mwaka huu. Hadi vimbunga vinawafuata huko huko Gymkhana Club kuwamaliza?